Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kama iki anachomweleza jamaa ni kama anamwona hajaenda shuleKaka hao wadada nawafahamu nlikuwa pale kipindi flan mmoja yupo vzr ila mwngn ni majanga kwa kwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama iki anachomweleza jamaa ni kama anamwona hajaenda shuleKaka hao wadada nawafahamu nlikuwa pale kipindi flan mmoja yupo vzr ila mwngn ni majanga kwa kwel
Kwenye miamala kukosea kupo lkn Kwa mtu anaejitahidi kua makini Kuna aina ya makosa huwezi kuyaonakama iki anachomweleza jamaa ni kama anamwona hajaenda shule
hivi mkuu umelewa maelezo aliyoyatoa et kakosea control number na kumlipia mwingine hilo jambo ni gumu kutokea tena ndani ya chuo kimoja kwa kiwango kilekile cha pesa nakata. labda anambie amekula njama kumlipia huyo mwanafunzi kijanjaKwenye miamala kukosea kupo lkn Kwa mtu anaejitahidi kua makini Kuna aina ya makosa huwezi kuyaona
Kuna mda unabaki unacheka tu! Sema inawezekana lkn ntakua wa mwisho kuaminihivi mkuu umelewa maelezo aliyoyatoa et kakosea control number na kumlipia mwingine hilo jambo ni gumu kutokea tena ndani ya chuo kimoja kwa kiwango kilekile cha pesa nakata. labda anambie amekula njama kumlipia huyo mwanafunzi kijanja
Wengine control number wanapewa chuo ukienda Kwa wakala unamsomea au anaangalia mwenyewe,Sasa wewe uoni hapo mtu anaweza akakosea Kwa isivyo bahatiHata title yako inaonesha hauko makini kwenye utendaji wako wa mambo. Yaan umekoseaje?! [emoji848][emoji848][emoji848] ile nambari ya malipo uliyoipata mtandaoni ulishindwa kuinakili mojamoja kwa umakini mpaka ukakosea?! [emoji15] vocha inakuaje?!
Okay!... Umeshindwa hata kutuliza akili ukaandika kichwa cha mada vizuri kwa kutulia chenye kueleweka?! Humohumo umechanganya spelling za kituruki, kifaransa na kireno! Vijana mna kazi sana! [emoji17]
hili jambo ni gumu kutokea ujue zile namba kuzikosea kisha ukazipatia kwa mtu mwingie na kukubali kwa kiwango hichohicho cha pesa ni HAPANA.huyo alikua anajua anachofanyaKuna mda unabaki unacheka tu! Sema inawezekana lkn ntakua wa mwisho kuamini
Sifahamu zile namba zinavyokuwa computed lakini assume umepewa Control Number 994180343471. Je, haiwezekani wakati wa kuingiza CN ukaingiza 994180433471 au 991480343471?! Je, ukiingiza hiyo namba na kama ilikuwa assigned kwa mtu mwingine tayari, hiyo transaction itagoma?!hivi mkuu umelewa maelezo aliyoyatoa et kakosea control number na kumlipia mwingine hilo jambo ni gumu kutokea tena ndani ya chuo kimoja kwa kiwango kilekile cha pesa nakata. labda anambie amekula njama kumlipia huyo mwanafunzi kijanja
itagoma kulingana na kiwango cha pesa kilichoelekezwa kwenye namba hiyo,kwenye ada watu hupatiwa namba kulingana na pesa unayotakiwa kulipa sasa ukosee namba kisha upatie kiwango cha pesa kwani alilipa pesa kiasi ganiSifahamu zile namba zinavyokuwa computed lakini assume umepewa Control Number 994180343471. Je, haiwezekani wakati wa kuingiza CN ukaingiza 994180433471 au 991480343471?! Je, ukiingiza hiyo namba na kama ilikuwa assigned kwa mtu mwingine tayari, hiyo transaction itagoma?!
Haya nawee mtetea, andika kuonesha wee ni mtetea.Huyu naye ndo mchekea hata unavyoandika tu unaonesha wewe mchekea.
Wewe mtoto mayai mayai unataka kubishana na wanaume? Utaumia dogoHaya nawee mtetea, andika kuonesha wee ni mtetea.
Si utoe nawee maoni yako, kwan ni lazima niandike unachotaka wee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaa kweli wee,Wewe mtoto mayai mayai unataka kubishana na wanaume? Utaumia dogo
Sio kila control number ni close ended, zingneee ni open ended mwanafunzi anapewa moja tu na analipia mwaka mzimaitagoma kulingana na kiwango cha pesa kilichoelekezwa kwenye namba hiyo,kwenye ada watu hupatiwa namba kulingana na pesa unayotakiwa kulipa sasa ukosee namba kisha upatie kiwango cha pesa kwani alilipa pesa kiasi gani
Nakuona unavyofurahi...... Upo .... Kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaa kweli wee,
Kama ameshalipa huyu alielipiwa? Fikilia kisha utoe jibu ambalo halitazalisha swaliKama ni chuo kile kile aliyelipiwa kimakosa si atoe tu pesa kumlipia mwenzake.!
Vijana wa insta na tktk hawaHata title yako inaonesha hauko makini kwenye utendaji wako wa mambo. Yaan umekoseaje?! [emoji848][emoji848][emoji848] ile nambari ya malipo uliyoipata mtandaoni ulishindwa kuinakili mojamoja kwa umakini mpaka ukakosea?! [emoji15] vocha inakuaje?!
Okay!... Umeshindwa hata kutuliza akili ukaandika kichwa cha mada vizuri kwa kutulia chenye kueleweka?! Humohumo umechanganya spelling za kituruki, kifaransa na kireno! Vijana mna kazi sana! [emoji17]
Hapo unatakiwa kuwasiliana na mtandao uliotumia kulipa , hao watawasiliana yule dada mtu ambae mmemlipia kimakosa, yule akisema ni kweli imekosea mtarudishiwa mualama wako,Habari za Leo wadau,
Mimi ni Wakala. Leo dada wa kazini amekosea kulipia control number ambayo ni ada ya mwanafunzi wa CBE akamlipia mwanafunzi mwingine wa CBE ambae sio alietoa pesa.
Naomba kuuliza hatua za kufuata Ili nitatue changamoto hii, naomba kuwasilisha.
Haya nawee mtetea, andika kuonesha wee ni mtetea.
Si utoe nawee maoni yako, kwan ni lazima niandike unachotaka wee??aba
Asante Kwa ushauriHapo unatakiwa kuwasiliana na mtandao uliotumia kulipa , hao watawasiliana yule dada mtu ambae mmemlipia kimakosa, yule akisema ni kweli imekosea mtarudishiwa mualama wako,
lkn kama unaweza kumapata mtu uliemlipia kimakosa itakuwa rahisi zaid eidha akurudishie pesa ikiwa nae hajalipa,au atasaidia kuwafamisha watu wa matandao ya kwanmba kuna peaa imeingia kwake kimakosa arudishiwe muhusika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahNakuona unavyofurahi...... Upo .... Kabisa.