Alex777
Member
- Aug 4, 2013
- 30
- 4
Habari wana JF,
Samahanini kaka &,Dada mlioko humu, ila nalikua naomba ufafanuzi Kwa Mwenye ufahamu juu ya swala hili.
Mimi ni mfanyabiashara, na ninamshukuru Mungu ameniwezesha kupanda kiwango cha juu. Ahimidiwe Yeye Mungu. Wa Baba zangu Ibrahim Isaka na Yakobo!
Niko kwenye mazungumzo na kamouni Fulani ya utengenezaji mabasi ya abiria (mabasi yakusafiri safari za mbali "mikoani")
Nimejikuta naipenda biashara hii, na Upendo wangu juu ya hii biashara ya usafirishaji, imenifanya niingie kwenye mazungumzo yakutaka kuagiza mabasi kadhaa.
Ila naomba ushauri wenu Ndugu.
Kwa wenye uzoefu haswa. Kweli nitoe tsh 260ml Kuingiza bus Kwa route za mbali kweli na likanipa faida? (260ml ikarudi na faida)
Au Kwa wenye uzoefu zaidi wa biashara mnaweza kunipa ushauri Kwa mtaji huu ni biashara ipi mbali na usafirishaji ambayo naweza kuwekeza ikanilipa?
Ahsante.
Samahanini kaka &,Dada mlioko humu, ila nalikua naomba ufafanuzi Kwa Mwenye ufahamu juu ya swala hili.
Mimi ni mfanyabiashara, na ninamshukuru Mungu ameniwezesha kupanda kiwango cha juu. Ahimidiwe Yeye Mungu. Wa Baba zangu Ibrahim Isaka na Yakobo!
Niko kwenye mazungumzo na kamouni Fulani ya utengenezaji mabasi ya abiria (mabasi yakusafiri safari za mbali "mikoani")
Nimejikuta naipenda biashara hii, na Upendo wangu juu ya hii biashara ya usafirishaji, imenifanya niingie kwenye mazungumzo yakutaka kuagiza mabasi kadhaa.
Ila naomba ushauri wenu Ndugu.
Kwa wenye uzoefu haswa. Kweli nitoe tsh 260ml Kuingiza bus Kwa route za mbali kweli na likanipa faida? (260ml ikarudi na faida)
Au Kwa wenye uzoefu zaidi wa biashara mnaweza kunipa ushauri Kwa mtaji huu ni biashara ipi mbali na usafirishaji ambayo naweza kuwekeza ikanilipa?
Ahsante.