Ilikuaje mpaka unaibiwa mchana ina maana gari uliwaachia mafundi?
Alafu hiyo kariakoo ni mitaa IPi maana kama gerezani Mimi mwenyewe ndiyo napaki hapo daily na hao mafundi wa hapo gerezani nawajua karibia wote..
Kama ulipeleka gari mitaa ya shaurimoyo kule kuna wezi kwelikweli maana hapo kila fundi ni mwizi ni wachache Sana waaminifu
Mbona shauri moyo pako fresh tu kuna jamaa wengine waaminifu unaacha gari unaenda misele unarudi chuma ipo fresh...Ilikuaje mpaka unaibiwa mchana ina maana gari uliwaachia mafundi?
Alafu hiyo kariakoo ni mitaa IPi maana kama gerezani Mimi mwenyewe ndiyo napaki hapo daily na hao mafundi wa hapo gerezani nawajua karibia wote..
Kama ulipeleka gari mitaa ya shaurimoyo kule kuna wezi kwelikweli maana hapo kila fundi ni mwizi ni wachache Sana waaminifu
Yanaingia yale, bei yake naona si ndogo. Sasa ndugu hapo hapo hukuwarudia mafundi kuwakamata mashati?Gari yangu ni Toyota Kluger,
Kuna siku ilileta shida nikapeleka gereji pale kariakoo
Kuanzia hapo imeanza kuwa na mlio mbaya, haina nguvu, na consumption ya mafuta imekuwa juu Sana
Sasa nikaambiwa masega yameibwa ndio maana Iko hivyo
Sasa swali langu Kwa wataalam,
Hivi vibuyu ninavyoviona kwenye mitandao (masega) vinaingiliana pale mbele chini ya injini na nyuma kwenye bomba?
Coz naambiwa masega yapo sehemu mbili
Gari yangu ni Toyota Kluger,
Kuna siku ilileta shida nikapeleka gereji pale kariakoo
Kuanzia hapo imeanza kuwa na mlio mbaya, haina nguvu, na consumption ya mafuta imekuwa juu Sana
Sasa nikaambiwa masega yameibwa ndio maana Iko hivyo
Sasa swali langu Kwa wataalam,
Hivi vibuyu ninavyoviona kwenye mitandao (masega) vinaingiliana pale mbele chini ya injini na nyuma kwenye bomba?
Coz naambiwa masega yapo sehemu mbili
Sijajua kama kuna gari zina masega sehemu mbili.
Ila masega ya muhimu huwa ni ile ambayo ina O2 sensor in between au AF sensor na O2 sensor.
Yale ndio huwa yakiwa disturbed yanaathiri performance ya engine na consumption.
Baada ya Oxygen sensor ya juu.Ambayo hayo yanakaa sehemu gani?
Mkuu samahani ,kwa kwaida gari ambayo bado makini inatakiwa kutumia liter ngapi kwa kilometresSijajua kama kuna gari zina masega sehemu mbili.
Ila masega ya muhimu huwa ni ile ambayo ina O2 sensor in between au AF sensor na O2 sensor.
Yale ndio huwa yakiwa disturbed yanaathiri performance ya engine na consumption.
DuhSijajua kama kuna gari zina masega sehemu mbili.
Ila masega ya muhimu huwa ni ile ambayo ina O2 sensor in between au AF sensor na O2 sensor.
Yale ndio huwa yakiwa disturbed yanaathiri performance ya engine na consumption.
Masega yakiibiwa dashboard itaonyesha Alana gani?Sijajua kama kuna gari zina masega sehemu mbili.
Ila masega ya muhimu huwa ni ile ambayo ina O2 sensor in between au AF sensor na O2 sensor.
Yale ndio huwa yakiwa disturbed yanaathiri performance ya engine na consumption.
Inategemea na aina ya gari, kuna zingine hazioneshi chochote, zingine zitawasha check engine n.k.Masega yakiibiwa dashboard itaonyesha Alana gani?
Swali lako liko too General. Kuwa specific ni gari gani na ina engine gani?Mkuu samahani ,kwa kwaida gari ambayo bado makini inatakiwa kutumia liter ngapi kwa kilometres