Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

Hamna gari hapo
 
Zipo sababu ni bei rahisi kununua na kufanya replacement kwenye Toyotas. Engine ya Benz, VW au Audi unadhani itakuwa na bei sawa na Toyota? Ushajiuliza cost ya fundi ku diagnose BMW tu ama maintanance ambayo ina include replacement ya spare parts?
Napia zipo nyingi sana, obvious wateja ni wengi ukilinganisha na magari mengine ambayo yako machache. Nina IST nimenunua mwaka 2017 haijawahi Sumburgh zaidi ya kubadilisha break.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…