Msaada wa wa maswali ya interview kada ya mkufunzi maendeleo ya jamii

Msaada wa wa maswali ya interview kada ya mkufunzi maendeleo ya jamii

suley wa tz

Senior Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
116
Reaction score
138
Habari wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kuandika secretariat ya ajira wa kada mkufunzi maendeleo ya jamii, kwa yeyote mwenye kujua ABCD kuhusu kada hii na ukufunzi kwa ujumla unaweza kishare experience, mawazo na ushauri, natanguliza shukran zangu
 
Mkufunzi unaomba desa?

Si u 'gugu' mkuu?

Fanya homework yako mkufunzi bana!
 
Back
Top Bottom