Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao wadudu ni nyoko wanakula mbao kama wanalipwa aiseee
ukitaka uwaweze vizuri chukua Oil chafu changanya na petrol,Oil chafu inasaidia kuzuia mdudu asile mbao sasa ukiipakaa inaishia juu juu ila ukiichanganya na petrol inaingia hadi ndani ya mbao....jaribu uje unipe jibuJAMANI NANI KAPAKA OIL CHAFU DARLINI NA AKAFANIKIWA KUPAMABANA NA HAWA WADUDU WARA MBAO? YAANI AKAONA WADUDU WAMEACHA KULA MBAO
HAITAUNGUZA NYUMBA KWA KULIPILUWA NA JOTO LA BATIukitaka uwaweze vizuri chukua Oil chafu changanya na petrol,Oil chafu inasaidia kuzuia mdudu asile mbao sasa ukiipakaa inaishia juu juu ila ukiichanganya na petrol inaingia hadi ndani ya mbao....jaribu uje unipe jibu
Hii imenifumbua macho hata mie ninayejiandaa kupaua. Napaswa kuwa nao makini Hawa wauza mbaoWakuu shikamoni,
Paa la nyumba yangu limeliwa vibaya na wadudu ambao siwafahamu, siyo mchwa, wako kama mende weusi wembamba kidogo kwa mende, wanapokuwa kwenye mbao wanakuwa viwavi (caterpilar) wanakula mbao ndani kwa ndani huku wakiacha matundu kama yanavyoonekana kwenye picha.
Wakishakula ndio wanageuka kuwa kama mende. wakila mbao inakuwa kama bua la muhindi yaani ndani ni hollow na linatoa unga wa njano.
Hawa wadudu wanakula mbao nzima na kuiacha kama unga wa njano.
Nimejaribu kupulizia dawa tofauti tofauti nilizokuwa napewa na wauzaji wa maduka ya pembejeo lakini haijasaidia, nimeona nijaribu hapa labda kuna mtu ameshakutana na kesi kama yangu anaweza akanipa uzoefu.
Hawa wadudu wanapokula mbao inalia kama msumeno unakata mbao.
View attachment 230852
View attachment 230853
Mambo vp mkuu? Mimi paa la nyumba limeshambuliwa na wadudu nmetumia dawa nyingi ambazo zinachanganywa na maji ikiwemo DDV, Colt lakini bado wanasumbua naomba msaada kwa wanaouza dawa za kuangamiza hawa waduduWakuu kwa dawa ya paa kuna dawa inaitwa dko 30c nicheki pm nikuunganishe na manufactures...upate kwa bei ya jumla
Kwa furniture au milango tumia aldrin au gammaline au gladiator hizi dawa pia njooni dm nitawaunganisha na mtu
Mi mwenyewe niko na shida kama hiii nimejaribu Oil chafu haijasaidia kitu.Mkuu tafuta oil chafu na upakae hizo mbao na enjoy life
Sasa nina imagine kwenye paa unaipakaje nyumba ushapaua na probably umefunga gypsum board kabisa?Mi mwenyewe niko na shida kama hiii nimejaribu Oil chafu haijasaidia kitu.
Nmemtafuta jamaa mmoja anasema wenyewe wanafanya treatment kwa kutumia gesiSasa nina imagine kwenye paa unaipakaje nyumba ushapaua na probably umefunga gypsum board kabisa?
Kipindi naandika hivi watu walidhani utani, ila ni kweli sikua na kitandaHawa wadudu mi waliniharibia kitanda.
Unasikia kama msumeno unapita ndani kwa ndani.
Mpaka leo sina kitanda.
Hapo good.acha na mimi nijihami mapema,Nmemtafuta jamaa mmoja anasema wenyewe wanafanya treatment kwa kutumia gesi
DoohhFumua paa. Bora pengo kuliko jino bovu.
Kubali ukweli mkuuDoohh
Uanze hesab mpya ya ceilling , bati etc..Kubali ukweli mkuu
Mkuu unaweza nisaidia contact za huyu jamaa, naona hawa wadudu wameshavamia darı niwawahi mapema kabla hawajaniachia msibaNmemtafuta jamaa mmoja anasema wenyewe wanafanya treatment kwa kutumia gesi
Binafsi nilitumia dawa fulani inaitwa dudu killer (kama sijakosea spelling), wadudu wote walihama.Mkuu unaweza nisaidia contact za huyu jamaa, naona hawa wadudu wameshavamia darı niwawahi mapema kabla hawajaniachia msiba