Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barikiwa sana mkuu nitajaribu hii. Ungenipa formula ya jinsi ya kuchanganya itapendeza sana. Na ukieza kutuma picha ya chupa ya hiyo sumu itakua umetusaidia wengiBinafsi nilitumia dawa fulani inaitwa dudu killer (kama sijakosea spelling), wadudu wote walihama.
Iko hivi, baada ya kupaua (kabla sijaweka gypsum board) hao wadudu weusi walianza kupekecha mbao, nilienda duka la dawa za mifugo nikanunua hiyo dawa, nikachanganya na maji kidogo (kwa uwiano nilioshauriwa na aliyeniuzia) then nikatumia pump ile ya kubeba mgongoni inayotumiwaga mashambani kunyunyuzia dawa za kuua wadudu waharibifu. Nilipomaliza tu kunyunyuzia wadudu wote walikimbia.
Nilitumia Arusha, sijajua utakuwa mkoa gani.
Kila la kheri Mkuu.
Kwa bahati mbaya nipo nje ya Arusha kwa sasa, ila ntajaribu kuangalia kama ntampata mtu wa kunitumia picha ya hizo dawa then niweke hapa.Barikiwa sana mkuu nitajaribu hii. Ungenipa formula ya jinsi ya kuchanganya itapendeza sana. Na ukieza kutuma picha ya chupa ya hiyo sumu itakua umetusaidia wengi
Muongozo kuhusu Kiasi cha mafuta ya taa, oil chafu na chumvi ya maweChukua oil chafu changanya mafuta ya taa weka na chumvi ya mawe utaona wanaanguka wadudu hao. Hutawasikia tena.
Muongozo kuhusu Kiasi cha mafuta ya taa, oil chafu na chumvi ya mawe
Nmefwnya hivyo ulivyoelekeza lakini wadudu bado wako kaziniNenda kwenye gereji za gari au pikipiki, chukua oil chafu, nzuri ya pikupiki. Weka mafuta ya taa ili isiwe nzito, weka chumvi kuifanya iwe sumu na ipenye kwenye mbao. Hutasikia tena hao wadudu wakipekecha mbao.
Aisee sasa me niliepaka oil chafu jeNmefwnya hivyo ulivyoelekeza lakini wadudu bado wako kazini
Wale jamaa(wauzaji) wanaweka maji yenye rangi ya kijani tu ambayo sio dawa, wanatia watu hasaraEngine oil iliyotumika, inaweza kuwa suluhisho kwa tatizo lako, inavyoonesha ulitumia mbao ambazo huwa wanasema ni treated lakini mbao hizo haziwi treated ipasavyo. Cha kufanya chukua oil chafu na brash ya rangi, paka kwenye mbao kama vile unavyopaka rangi hakikisha pia unanyunyiza kwenye matundu, itasaidia sana. Oil chafu hukimbiza hata nyoka!