Msaada: Wafanyakazi wenzio kukushinikiza uoe ni ishara ya nini?

Hajielewi huyo, yaani kutaniwa kuwa shemeji sijui wifi ndio unaona changamoto kubwa ya kusimulia watu?
Yaani hiyo ni changamoto kweli? πŸ˜‚πŸ˜‚
Au unajitungia story kuchangamsha jukwaa
Mkuu hawazijui changamoto hao πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Awaambie bado miaka 10 kuoa hao hawana nia nzuri wanataka akiwa na familia waanze kumchezea kishirikina
 
Asimamie mipango yake na KUJIAMINI. Hizo nyingine ni kelele za vyura kukipambazuka wanatulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…