Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 776
Chief hukupiga ata mate?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kama member mkongwe nimekuaminiMie sio mwandishi wa thread humu Jf... Nimejoin since 2013.. Thread sidhan kama znafika 10!.. Mpaka naweka thread.. Huwa kuna positive force imenfanya niandike.. Siwez kukaa na kujitungia Uongo ili nimnufaishe nan?..
Hapana sikuwa na hisia nae za kimapenzi.. Mie muoga sana kwa Wanawake.. Nawaachia nyie vijana..
HAPANA MKUU HATA KAMA KAWEKA CHUMVI KAMA MAULIDI KITENGE ILA HAYO MAMBO YAPO!!!!!Mtu mzima kuandika uongo wa kusimuliana vijiweni na watoto wenzako peleka huko! Haya tushajua unamiliki gari!
Maswali mengi kuliko majibu. Mi nimeshangaa hapo kph 130Ulikutana na jini mzee, ss hyo saa 3 uliyostuka kwa kugongewa na mlinzi ilikuwa ni nyumbani kwako au ni pale pale ulipofungia brek??
Na huyo mlinzi aliyeona watu wengi wakishuka kwenye gari ilikuwa ni saa ngapi na walishuka wakaenda wp?
Gari imeunguruma toka saa 7 usiku mpaka saa 3 asubuhi yani masaa 9 chuma kinunguruma hakijaisha mafuta na raia wanakipita tu!!..Akanijibu "tangia saa 7 niliona watu kama nane wakishuka humu wote wakiwa wamevaa nguo zisizoeleweka za kuwakawaka.. Akanambia nilidhan wametelekeza gari.. Akanirudishia swali.. Kwan wale wakina nan? Sikumjibu gari ilikuw inawaka bado na cha kushangaza sina jeraha lolote.. Ingawa nilipata Usingizi mzto mno..