Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
- Thread starter
- #41
Mr wick..
Gari ikiwa idle mode hainywi mafuta.. Na unajua kulikuwa na lita ngapi?..
Pili.. Gari ikiwa idle mode.. Umeme unajifua kutoka katika autornetor kwenda katk betri ya gari.. Hvyo umeme unakuwepo full so kigezo cha kuwaka gari na taa sidhan kama kuna kipingamiz unless uwe mgeni wa haya mambo.
Una uhakika nilipata matatzo maeneo ya fuel station?...
Patrol scanning sio kila sehemu watafika..huwa wanatarget maeneo nyeti tu na yenye hatari ya uvamizi wa mara kwa mara
Mlinzi eneo alilokuwepo ni umbali wa mita 100 na ni nje ya eneo lake la ulinzi haikuw rahs yeye kutoka kule aje pale ukzngatia gari ilikuw inawaka tu.. Au ww ungekuwa mlinzi Ungeacha lindo lako uje kufata Umbea?
Gari ikiwa idle mode hainywi mafuta.. Na unajua kulikuwa na lita ngapi?..
Pili.. Gari ikiwa idle mode.. Umeme unajifua kutoka katika autornetor kwenda katk betri ya gari.. Hvyo umeme unakuwepo full so kigezo cha kuwaka gari na taa sidhan kama kuna kipingamiz unless uwe mgeni wa haya mambo.
Una uhakika nilipata matatzo maeneo ya fuel station?...
Patrol scanning sio kila sehemu watafika..huwa wanatarget maeneo nyeti tu na yenye hatari ya uvamizi wa mara kwa mara
Mlinzi eneo alilokuwepo ni umbali wa mita 100 na ni nje ya eneo lake la ulinzi haikuw rahs yeye kutoka kule aje pale ukzngatia gari ilikuw inawaka tu.. Au ww ungekuwa mlinzi Ungeacha lindo lako uje kufata Umbea?