Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Anamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibia kila kitu. ila mimi sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakini najua nikimwambia si ajabu akadhani nnamtaka huyu dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama house girl kapendeza na mshepu wake kwanini abaki? Mke anajiwekea tahadhari huenda Binti kanona na kabla hujaonja anatakiwa asepe. Muangalie house girl yupo Kama mwanzo anapofika?Anamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibu kitu. ila mm sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakn najua nikimwambia si ajabu akazan nnamtaka uyu dada
Kwann mshamba?Kama house girl kapendeza na mshepu wake kwanini abaki? Mke anajiwekea tahadhari huenda Binti kanona na kabla hujaonja anatakiwa asepe. Muangalie house girl yupo Kama mwanzo anapofika?
Ungana na mkeo mumrudishe kwao au asitishiwe mkataba na atafutiwe eneo jingine Kisha mtafute mwingine mshamba.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Atakuwa pisi Kali kuzidi shemejiAnamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibu kitu. ila mm sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakn najua nikimwambia si ajabu akazan nnamtaka uyu dada
Mkuu jaribu kwenda hospital....kucheki homaAnamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibu kitu. ila mm sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakn najua nikimwambia si ajabu akazan nnamtaka uyu dada
Hahahahha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🌝Hahahahha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vipi mkuu😃🤔
Dada mkuu nilimis comment zakoAnataka kumtimuwa alete hausiboi, akusaidie na kazi zingine.
Sikutegemea comment kama hii kutoka kwako duhAnataka kumtimuwa alete hausiboi, akusaidie na kazi zingine.