Msaada wajumbe: Nataka nimshitaki Baba yangu mzazi, sheria ipi nitumie?

UNA UHAKIKA HUYO NDO BABA YAKO??
 
ndio maana nikawachia vyote Mimi nikaomba ki2 kidogo2 lakin bado ananizingua
Achana na ndingi yako huyo siyo ndg yako! Wwe shirikiana na ndg zako ongea nao vizuri na wala usioonyeshe unyonge, nakuambia ukweli lazima kuna mmoja atakuja kukutoa tu ki Maisha!!
 
wewe nifala zaid ulikuwa unamuomba gar kwajili ya kulia bata jitafakal
 
KWANI BABA YAKO ALIKUZAA ILI UTUMIE MALI ZAKE TAFUTA ZA KWAKO ZAKE NI ZAKE VINGINEVYO UTAISHIA KUMUUWA NA UKISHINDWA AU UKIWEZA UTALANIWA MILELE MAMA YAKO NDIYO SHETANI MWANDAMIZI ANAYEKUJAZA UPEPO NA KIBURI, BABA YAKO HANA TATIZO NA WEWE BALI AMEFANYA HIVYO KUMKOMOA MAMA YAKO ALIYEKUJAZA UJINGA NA PENGINE ALISHAJARIBU KUMDHURU BABA YAKO KWA NJIA ZISIZOONEKANA AKASHINDWA UKITULIA BABA YAKO NI MTU MWEMA SANA ILA TABIA YA MAMA YAKO NDIYO INAMFANYA AKUOGOPE NA WEWE KWANI KUKUSAIDIA WEWE NA WEWE HUTAMTUPA MAMA YAKO UTAMSAIDIA KUMSHAMBULIA BABA YAKO NDIYO KISA CHA UMASKINI WAKO NARUDIA TENA NINA UZOEFU WA WATOTO KAMA WEWE MMEDANGANYWA NA MAMA ZENU NANYIE NKAINGIA KWENYE VITA ISIYOWAHUSU KAZI KWENU.
 
Umenena vyema! Shida ni kwamba mleta mada atakuelewa? Je ana hiyo akili ya kukuelewa ulicho andika?

Ni maajabu sana kijana wa miaka 24 amekaa analalamika eti hajapewa mtaji na baba yake.

Kama taifa sijui tunaenda wapi walahi.
 
Umenena vyema! Shida ni kwamba mleta mada atakuelewa? Je ana hiyo akili ya kukuelewa ulicho andika?

Ni maajabu sana kijana wa miaka 24 amekaa analalamika eti hajapewa mtaji na baba yake.

Kama taifa sijui tunaenda wapi walahi.
MKuu aelewe asielwe wapo wajinga kama yeye Mungu atawasaidia kuelewa kupitia andiko langu wewe binafsi nakushukuru sana kwa kuniunga mkono
 
Jamaa ajalilia utegemezi kaomba Backup support hata uwe Hustle kihasi gani Backup support ni kitu cha kawaida sana.

Unless useme kwenye kumshitaki....kuna Angle nyengine.
KUOMBA KUNA MAWILI KUKUBALIWA AU KUKATALIWA UKIKATALIWA UTAKWENDA MAHAKAMANI ???
 
Mkuu uko sahihi.
Lakini ukiangalia vizuri hapa kosa ni la mama mzazi la mtoa mada.
Kosa lake ilitakiwa afuatilie tangu mtoa mada akiwa mdogo kuhusu mahitaji ya chakula,malazi,mavazi,ada za shule kwa njia za kisheria na akiwa mbishi mshahara wake unakatwa kilazima.
Lakini kwa sasa hivi itamsumbua sana kwa sababu amevuka miaka 18 tayari ni mtu mzima.
Ukimpeleka mahakamani atakujibu"Wewe ni mtu mzima tayari pambana utafute mali zako halafu ugawe kwa watoto wako"
Nimeshashuhudia mifano ya kesi kama hizi huwa hazifiki mbali na hazina matokeo yoyote.
Wa kumlaumu hapo ni mama mzazi,na ukija kufuatilia kiundani utakuja kugundua mama mzazi kuna kitu alikuwa anamkwaza baba naye akaamua kususa na ndio inakuadhibu hadi wewe leo hii.
Hakuna mzazi anamchukia mwanae bila sababu kama kila kitu kipo sawa.
 
Swali ni kwamba mleta mada kwa akili aliyo nayo atakuelewa?
 
kinacho nifanya nishitak sio kunyima nihak mkuu watoto wengine kawapa magar wengine nyumba lakin Mimi kaninyima hata mtaji wa boda boda akat anajua mwanae sina kaz yoyote ya kufanya
Mkuu kuna mahali mnakosea kati ya wewe au mama yako jikagueni vizuri.
Kwa maelezo yako anaonekana huyo mzee ni mtu mwenye uwezo asingeshindwa kukupa hata milioni 5 ya mtaji.
Lazima kuna kitu mnamkwaza akaamua kuwapotezea moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…