Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

Msaada: Wakati Gari inapigwa Starter Moto unakuwa unafika Lakini haiwaki!

Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.

Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.

Mtoa maada na watu wengine ambao huwa mnaleta matatizo humu. Zingatieni haya,

1. Jitahidi sana kueleza clearly gari yako ni aina gani na aina ya mafuta inayotumia,

2. Jitahidi kueleza clearly tatizo la gari lako.

Kwa mfano kutowaka kwa gari kupo kwa aina mbili na solution zake hazifanani.

1. No start, No engine Cranking.

2. No start, engine Cranking.

Cranking ni engine engine inazunguka lakini haipokei,

No cranking yaani ukiwasha husikii chochote.

Tuje kwako mtoa maada.

Inaonekana engine yako inacrank ila kuna muda unapokea na kuwaka na kuna muda haipokei kabisa.
Kama engine haipokei basi huwa kuna msululu wa sababu.

Ila to cut the story short ambacho huwa tunaangalia ni kama cheche zinatoka kwenye spark plug na kama mafuta yanafika kwenye engine.

Kama hivyo vitu viwili vikiwa sawa kafanye diagnosis maana kuna msururu wa sensors kadhaa ambazo zina tabia hiyo na mojawapo ambayo imezoeleka ni Crankshaft Position Sensor.

Ukisema moto unafika unakuwa haueleweki.

#


Karibu tukufanyie diagnosis na tukurekebishie matatizo ya gari lako. Hata kama tatizo umedumu nalo kwa muda mrefu. Gari yoyote ndogo kampuni yoyote.

Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.


Tupigie 0621 221 606.
 
Mtoa maada na watu wengine ambao huwa mnaleta matatizo humu. Zingatieni haya,

1. Jitahidi sana kueleza clearly gari yako ni aina gani na aina ya mafuta inayotumia,

2. Jitahidi kueleza clearly tatizo la gari lako.

Kwa mfano kutowaka kwa gari kupo kwa aina mbili na solution zake hazifanani.

1. No start, No engine Cranking.

2. No start, engine Cranking.

Cranking ni engine engine inazunguka lakini haipokei,

No cranking yaani ukiwasha husikii chochote.

Tuje kwako mtoa maada.

Inaonekana engine yako inacrank ila kuna muda unapokea na kuwaka na kuna muda haipokei kabisa.
Kama engine haipokei basi huwa kuna msululu wa sababu.

Ila to cut the story short ambacho huwa tunaangalia ni kama cheche zinatoka kwenye spark plug na kama mafuta yanafika kwenye engine.

Kama hivyo vitu viwili vikiwa sawa kafanye diagnosis maana kuna msururu wa sensors kadhaa ambazo zina tabia hiyo na mojawapo ambayo imezoeleka ni Crankshaft Position Sensor.

Ukisema moto unafika unakuwa haueleweki.

#


Karibu tukufanyie diagnosis na tukurekebishie matatizo ya gari lako. Hata kama tatizo umedumu nalo kwa muda mrefu. Gari yoyote ndogo kampuni yoyote.

Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.


Tupigie 0621 221 606.
Shukrani saana Umesoneka Vizuri Mtaalamu.
 
Back
Top Bottom