Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
Wakuu habari za muda huu. ninan shida hapa kwenye hiisimu yangu ambayo ni tecno W3.
Hii simu sasa hivi nikiiweka tu betri inajiwasha yenyewe kabla hata sijaiwasha.
Na ikijiwasha inaandika tu neno tecno arafu inaganda hivyo hivyo baada sekunde kama kumi hivi inajizima na kujiwasha tena yenyewe.
So inakuwa inafanya hivyo hivyo tu yaani kwenye MENU haifiki. NAOMBA MSAADA WAKUU. NINI KIFANYIKE ILI IWE UFUMBUVI. Shukrani, naomba kuwasilisha.
Hii simu sasa hivi nikiiweka tu betri inajiwasha yenyewe kabla hata sijaiwasha.
Na ikijiwasha inaandika tu neno tecno arafu inaganda hivyo hivyo baada sekunde kama kumi hivi inajizima na kujiwasha tena yenyewe.
So inakuwa inafanya hivyo hivyo tu yaani kwenye MENU haifiki. NAOMBA MSAADA WAKUU. NINI KIFANYIKE ILI IWE UFUMBUVI. Shukrani, naomba kuwasilisha.