Msaada wakuu nakoroma hadi kero

Baba mausingizi unaota au?
Wadau mwenye ufahamu kwenye hili tatizo,nakoroma sana nikilala na hali hii siipendi sinywi pombe,siyo mnene,ila tatizo linanitesa kuna dawa au njia yoyote kupunguza tatizo hili pls nipo serious
 
Watakao amua kulala kifudifudi wahakikishe wanakula chakula cha usiku mapema, usilale ukiwa tumbo limejaa chakula...

Kuna kufa ghafla kwa ulalaji huo.

Ulalaji bora ni kulalia Ubavu wa kulia, kisha unageukia kushoto na kuibia ibia chali.

Jitahidi kulala kifudifudi lakini hakikisha hupotezi "network"

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…