Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Baba mausingizi unaota au?
Wadau mwenye ufahamu kwenye hili tatizo,nakoroma sana nikilala na hali hii siipendi sinywi pombe,siyo mnene,ila tatizo linanitesa kuna dawa au njia yoyote kupunguza tatizo hili pls nipo serious