kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Unataka kufanya malipo wapi?Inanigomea kufanya malipo niko na NMB wallet na Absa visa card na zote zimegoma,ila absaa niliunga na paypal fresh,sasa sielew nakwama wapi.View attachment 2170536
Hio ni Ali expressUnataka kufanya malipo wapi?
Hii sina utaalam nayoHio ni Ali express
Hii ipo kwa sasa nimeona kuna baadhi ya product zimeandikwa bei zake chini sana mfano memory card unakuta imendikwa 205Tshs ukijaribu kulipia inagoma kama hivo lakini product nyingine zinakubaliInanigomea kufanya malipo niko na NMB wallet na Absa visa card na zote zimegoma,ila absaa niliunga na paypal fresh,sasa sielew nakwama wapi.View attachment 2170536