Msaada wakuu namna gani Alibaba wanaship product kwa mteja

Msaada wakuu namna gani Alibaba wanaship product kwa mteja

Inanigomea kufanya malipo niko na NMB wallet na Absa visa card na zote zimegoma,ila absaa niliunga na paypal fresh,sasa sielew nakwama wapi.
Screenshot_20220331-163818_AliExpress.jpg
 
Inanigomea kufanya malipo niko na NMB wallet na Absa visa card na zote zimegoma,ila absaa niliunga na paypal fresh,sasa sielew nakwama wapi.View attachment 2170536
Hii ipo kwa sasa nimeona kuna baadhi ya product zimeandikwa bei zake chini sana mfano memory card unakuta imendikwa 205Tshs ukijaribu kulipia inagoma kama hivo lakini product nyingine zinakubali
 
Back
Top Bottom