Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Oyooo! Katika wote waliopigwa matukio humu hii yako na rank no 1. Kagawa tigo? Sasa unataka sisi tushauri nn? Kwani hana kwao?
 
Mwana FA unaoa lini??😂😂😂
Ngoja nizeeke zeeke kwanza ndio mniulize naoa lini?? KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI

Ndoa zina mambo, huyo mkeo hana adabu ni mshenzi.!! Na laana hiyo itatafuna kizazi chako.
 
Kazi rahisi tu mtoe nduki utaishi vipi namsaliti hapo hamna amani tena kama unajiweza chukua mwengine alee watoto miasha yaendelee
 
ah nyie tatizo lenu mnaishi kwenye fantasy world.....wewe bwana mkeo sii anakupa mbususus ridhika enjoy basi
cha muhimu apo ni kumkaribisha bwana mdogo mgonge thriisum. mke akikataa sasa hapo mwanawane una haki ya kuwa mbogo
 
Tatizo halijaanzia hapo uwezo wa kung'amua mambo ndo hukuwanao kipindi cha uchmba...
Nakushauri mshushe vyeo tuu mpe talaka alafu mfanye kama danga lako tuuu
 
Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
Piga chini malaya huyo

Kashatombwa sana amini nakwambia

Unamruhusije mpaka sasa alalie kitanda chako?

Acha ujinga unafanyiwa drama na malaya na wewe unajaa

Usipompiga chini huyo malaya hii meseji utakuja kuikumbuka

Once a cheater always a cheater
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…