Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Umekwisha kosea.

Wanaume tunafanya huvi: unachati naye kwa simu ya wife na kumwita geto kama wewe umesafiri vile. Akifika unawmuliza, na kwa kuwa ushahidi upo, unamwambia avue suruali. Wakati huo hakikisha mkeo anakuwepo. Unamwambia afanye anavyofanya kwa mkeo halafu na wewe unamfanya yeye kama anavyofanya kwa mkeo.

Akitoka hapo mwambie anaweza kuendelea na mambo yake akijisikia.
 
Unatuchosha story za uongo na kutunga kutuumiza akiliiiii
 
Kosa halikuanza leo,, ULIKOSEA MBALI SANA,

Kabla ya kuoa ulizingatia kigezo gani? Ni dhahir ulivutiwa na uzuri wa binti hilo halipingiki, hukuangalia background ya mrembo wako,,,
Kwa mujibu wa Imani yangu nikuwa ".............na ukimpata mwenye dini umeula/utapata tulizo".
Unajua kwanini ulipaswa umtafute mwenye hofu na Mungu, ? Ile hofu ya Mungu ndio kitu pekee kitakacho mfanya aone aibu kumvulia nguo mtu mwingine au kuogopa u sodoma na ugomora na si vingine
Dunia hii ya sasa kaka mkubwa huu utandawazi unapoteza watu wengi sana, watu wanashawishika na mambo ya kijinga sana,

My take na ushauri kwako

Kaeni chini mzungumze tu japo hawezi kuacha asili yake, na wataendelea tu kuwasiliana kwa siri,
na wewe ningumu sana kumwamini tena, isipokuwa chukua ushauri huu KWA MASLAHI MAPANA NA WATOTO WAKO,
Kaa chini msamehe kwa lengo fulani, jifanye mjinga,
ukimwacha haraka watoto wako watateseka sana, subiri watoto wakue ila badae watoto wakifika stage fulani MUACHE, OA mwingine, huyo nyang'au(Sorry, ni mkeo) sio wa kumsamehe kirahisi,, ila kama ukijiridhisha ametulia basi tulia nae kuna wakati watu hubadilika, kama ukioa basi oa
kwakuzingatia vigezo hapo juu nilivyo kwambia
 

Mbona kama unatusimulia kitu kilichoelezwa na mtu mwingine?
 
Dadda kanifurahisha huyoooo.....kakunyoosha mpk raha angek7wa jirani ningempa zawadi,wanaume mnatuumiza sana,akitokea mke shupavu km huyo nafurahi sana
 
Tatizo ulimuoa mke wako akiwa na miaka 19. Alikuwa bado hajamaliza mambo yake.
Pole...maisha ndivyo yalivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ