Huo mpango wa stashahada ndo umeanza mwaka jana so kutakua hakuna tofauti ya mishahara kati ya aliyesomea digrii ya sekondari na msingi ni ngoma droo na wala c ya kisiasa ni utafiti uliofanywa kwa muda mrefu na nchi za wenzetu wamefanikiwa zaidi kwa muuliza swali kama hujaelewa tutafutane nikueleweshe zaidi