ethicx
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 311
- 126
Habari zenu wana jamvi hasa wajasiriamali wenzangu. Mimi nafanya biashara ya vipodozi pamoja na saloon ya kike lakini kadiri siku zinavyoenda sioni maendeleo na duka lipo sehemu nzuri ya biashara, ninavyoona ni kama niliyemueka pale dukani ananiibia sasa naomba ushauri wenu pia naomba kuelekezwa namna yakupiga mahesabu ya thamani ya vitu vilivyopo ili nijue nina hasara kiasi gani.
Nawasilisha msaada wowote nitashukuru.
Nawasilisha msaada wowote nitashukuru.