Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka msaikolojia maarufu UDSM naye alijiua kwa msongo wa mawazo.MBULUKENGE jaribu kupita mahospitalini ambapo watu wanapambania maisha yao usiku na mchana halafu wewe unataka uyatoe kizembe kizembe tu.
Kaza wewe.
Kataa hilo shetani la kujiua.
Tafuta msaikolojia aliyekaribu nawe muda ambao unasubiri majibu ya wana jf.
Kama hujuani na wana saikolojia
Sema uko mahali gani tukutumie mawasiliano ya wanasaikolojia sehemu uliyopo.
Goodluck.
Nakubaliana na wewe hii hali niliipitia nikiwa A level ambapo nilisoma boarding for the first time sikuwahi kupost wala kumwambia mtu yoyote, nilifake nipo normal japo ndani najijua mwenyewe lakini mwisho wa siku nikawa normal kweli na life ikasonga.Anayetaka kujiua hanaga muda hata wa kupost ivi...Endelea na mapambano
Nakumbuka kitaa walikua wanaona sisi wa kishua ila life la home tulikua tunalijua wenyewe tu😂😂😂.Binadamu wengi huwa tunadhani wote tuna kiwango sawa cha mapito au uwezo wa kuyastahimili. Kama huna kitu bora cha kusema ni kheri upite kimya, maana yawezekana mtu asidhamirie kufanya anachokisema ila tu ile njaa ya kutaka attention ya watu inadhihirisha emptiness aliyonayo ndani ya moyo wako
Mkuu, usidhani wote tunaopita humu au unaokutana nao kwenye maisha yako kila siku, maisha yao ni perfect, hapana mkuu
Kila mtu anapitia mazito ila tunayaficha kwenye tabasamu tu. So unaweza kuona wengine wanaishi na wewe unaishia ila kumbe wana mazito ambayo huwezi kuyabeba
Simaanishi ujilinganishe na circumstances za watu wengine ila uweze kuyaangalia maisha kwenye angle positive ili usije kufanya maamuzi permanent kwenye temporary situations..
Mungu akusimamie mkuu na usisahau kusali pia maana hizo roho zikiingia, huwa zinakutengenezea kiu inayokufanya utafute chochote negative ili uyachukie maisha yako zaidi kiasi cha kuhalalisha maamuzi yako.. Don't do that mkuu 🙏🏽
Msongo wa mawazo unaotokana na nini?
Mwaka juzi kidogo nijiue sababu ya maisha ila sasa naishi masaki jirani na Lowassa japo ni servant quarter,Single roomNapitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.
Napitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa.Shida nini Mkuu?... Eleza hapa usaidiwe
Kabisa mkuu, kila mtu anapambana na vita wapo.. Wanaopambana na kubwa zaidi ila wana ustahimilivu mkubwa zaidi na kuna wale wenye mitihani midogo ila ustahimilivu sifuri. Ndio maana ninalolipuuza mimi, wewe linaweza kukuua na lile unalolistahimili pengine linaweza kuniua pia..Nakumbuka kitaa walikua wanaona sisi wa kishua ila life la home tulikua tunalijua wenyewe tu😂😂😂.
Ukichangamana na watu ndo utajua kumbe hata wasanii unaowaona wanakula bata 24/7, ambao vijana wengi hutamani maisha yao kumbe wanatress hadi wanaangukia kwenye unga, ustaa wanaulipia gharama kubwa mno.
Furaha unayo mwenyewe na huzuni unayo pia.
Awe mvumilivuu kidogooUsijiue kwanza mkuu, subiri tupate ufumbuzi wa suala la umeme.
Kama haelewi huu ushauri apate kisungura kwanza au k vant ndo asome tenakabla ujajiua fikiria watu utakao waacha nyuma yako familia yako na marafiki wako
fikiria je ukifa hilo tatizo linalo pelekea upatwe na depression litakwishwa hakuna njia nyingine ya kulikabili? think
usione watu wana furahia maisha kwa ground kila Mtu kuna kitu kinamsumbua na kinampa depression kinouma ni Vile all human beings ni vinyonga tunajua ku pretend like everything is okay but Sio kweli
kila Mtu unae muona machoni kwako kuna failure ambazo Zina msonga kuna watu hawana kazi kuna watu ni wagumba kuna watu wanachapiwa nje kuna watu wamefeli na ndio tegemezi wa familia kuna watu tunanuka madeni tupo bankrupt mbaya mbovu kuna watu wana mgonjwa ukisimuliwa lazima upige goti umshukuru Mungu just know your not alone tupo wengi on the same boat
you know what Buda ingia bathroom oga vaa vizur toka home ingia mtaani head up chest out walk like king or like you don't give a fvck who is king
kutana na watu everything gonna be alright
Brother mim niliwai kua na biashara na maisha mazuri sana, nikiwa mdogo tu, nilipoanza kufaidi matunda ya biashara yangu niliibiwa kila kitu dukani, sijui tukio lilitokea muda ganiNapitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa.
Nmejariwa kusoma but sijawahi kupata kazi.
Kinacho niumiza zaidi nlikua nmeachiwa gari 2 za home coaster kufanya biashara.
Nlikata TLB ya special hire nmefanya kama miezi sita fluently gari zinazingua nikajikuta nakua na madeni makubwa Ili niweze ku handle kuendesha biashara.
Kikubwa zaidi this week gari zote zimepata ajali na kuisha kabisa yaani ni scraper zote ata kukata haziwezekani.
Maisha yangu yamekua magumu ndani ya muda mchache tu Kila napojaribu kutafuta msaada naambulia patupu mwanamke kanikimbia na mtoto nahisi maisha yangu yamejaa nuksi na mikosi tu nakosa raha ya maisha kabisa.
Pole sana Comrade Mbulukenge! 🙁Napitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.
umefanya jambo zuri na la maana sana kuja humu Jukwaani kuchota ushauri, maarifa na uzoefu wa kutoka kwenye hali hiyo mbaya ya kiwango cha juu sana cha kukata Tamaa 🐒Napitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.