Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Una msongo wa mawazo halafu husemi tatizo ninini? Unataka hao masocial worker wapige RAMLI? JIUENapitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una msongo wa mawazo halafu husemi tatizo ninini? Unataka hao masocial worker wapige RAMLI? JIUENapitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.
Hizi changamoto zako ni za kawaida sana. Hivyo huna sababu ya kuwaza mambo ya kipuuzi kichwani. Umiza kichwa kutafuta namna bora ya kuzitatua/kuzishinda! Na siyo kujiua.Napitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa.
Nmejariwa kusoma but sijawahi kupata kazi.
Kinacho niumiza zaidi nlikua nmeachiwa gari 2 za home coaster kufanya biashara.
Nlikata TLB ya special hire nmefanya kama miezi sita fluently gari zinazingua nikajikuta nakua na madeni makubwa Ili niweze ku handle kuendesha biashara.
Kikubwa zaidi this week gari zote zimepata ajali na kuisha kabisa yaani ni scraper zote ata kukata haziwezekani.
Maisha yangu yamekua magumu ndani ya muda mchache tu Kila napojaribu kutafuta msaada naambulia patupu mwanamke kanikimbia na mtoto nahisi maisha yangu yamejaa nuksi na mikosi tu nakosa raha ya maisha kabisa.
Pole sana kwa yote unayopitia. Ni vigumu sana kupitia kipindi kama hiki cha changamoto. Kumbuka, hata kama mambo yanaweza kuonekana kuwa magumu sasa, kuna mwangaza mwishoni mwa kila kiza.Napitia mfululizo wa matukio yakunikatisha tamaa kabisa.
Nmejariwa kusoma but sijawahi kupata kazi.
Kinacho niumiza zaidi nlikua nmeachiwa gari 2 za home coaster kufanya biashara.
Nlikata TLB ya special hire nmefanya kama miezi sita fluently gari zinazingua nikajikuta nakua na madeni makubwa Ili niweze ku handle kuendesha biashara.
Kikubwa zaidi this week gari zote zimepata ajali na kuisha kabisa yaani ni scraper zote ata kukata haziwezekani.
Maisha yangu yamekua magumu ndani ya muda mchache tu Kila napojaribu kutafuta msaada naambulia patupu mwanamke kanikimbia na mtoto nahisi maisha yangu yamejaa nuksi na mikosi tu nakosa raha ya maisha kabisa.
Yaah sure kiwango cha uvumilivu tumetofautiana sana.Kabisa mkuu, kila mtu anapambana na vita wapo.. Wanaopambana na kubwa zaidi ila wana ustahimilivu mkubwa zaidi na kuna wale wenye mitihani midogo ila ustahimilivu sifuri. Ndio maana ninalolipuuza mimi, wewe linaweza kukuua na lile unalolistahimili pengine linaweza kuniua pia..
Ndio maana huwa simcheki au kumdhihaki mtu pale anaponisimulia kitu kinachomsumbua hata kama kwangu ni kidogo maana najua ustahimilivu wake ndipo ulipoishia.
Sasa ndiyo umuite mwenzio Mbulukenge😃Dear Mbulukenge
You may not see it, but everything will work out in the End. Have Faith, pray & leave it to God… ❤️❤️
1 Peter 5:7 Casting all your care upon him; for he careth for you.
Sasa si ndo amejiita mwenyewe jamaniSasa ndiyo umuite mwenzio Mbulukenge😃
Shuleni kuna jamaa alikuwa anaitwa Tatizo Sigala ila sisi tulimsitiri kwa kukuita TIZO.Sasa si ndo amejiita mwenyewe jamani
Tembea na huu ushauri mkuu Mbulukengekabla ujajiua fikiria watu utakao waacha nyuma yako familia yako na marafiki wako
fikiria je ukifa hilo tatizo linalo pelekea upatwe na depression litakwishwa hakuna njia nyingine ya kulikabili? think
usione watu wana furahia maisha kwa ground kila Mtu kuna kitu kinamsumbua na kinampa depression kinouma ni Vile all human beings ni vinyonga tunajua ku pretend like everything is okay but Sio kweli
kila Mtu unae muona machoni kwako kuna failure ambazo Zina msonga kuna watu hawana kazi kuna watu ni wagumba kuna watu wanachapiwa nje kuna watu wamefeli na ndio tegemezi wa familia kuna watu tunanuka madeni tupo bankrupt mbaya mbovu kuna watu wana mgonjwa ukisimuliwa lazima upige goti umshukuru Mungu just know your not alone tupo wengi on the same boat
you know what Buda ingia bathroom oga vaa vizur toka home ingia mtaani head up chest out walk like king or like you don't give a fvck who is king
kutana na watu everything gonna be alright
Mkuu pole Sana watu wengi wanaweza wasi kuelewe.Napitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.
LemamaChangamoto tumeumbiwa wanadamu na zipo kwa ajili ya kukabiliana nazo na sio kuzikwepa.
Pole sana kwa unayoyapitia Mkuu, Sali na amini kwamba ni mapito tu.
KAZA MWANANGU.
Kabisa mkuu, wengi hawawezi kupuuzia matusi au dharau 👏🏾👏🏾Yaah sure kiwango cha uvumilivu tumetofautiana sana.
Mimi navumilia sana dharau, huwa napuuza tu ila kuna washkaji zangu wakiona tu viashiria vya dharau panakua hapatoshi hapo.
Unakufwa sio kujiua,we unahitaji pozi tu ujikalie kivyako.Napitia changamoto za msongo wa mawazo, nafikiria kujiua tu.