Akatanyukwire
Member
- Oct 13, 2012
- 35
- 27
Habari wana MMU.
Naomba mnisaidie mawazo: Nimeoa miaka 7 iliyopita maisha na wife ni ya furaha kwa ujumla japo mara moja moja magomvi kidogo ila furaha kwa sana.
Tatizo langu wana MMU sijabarikiwa kupata mtoto, kila my wife akipata mimba zinatoka, kila mara mpaka sasa nahisi mwenzangu anakata tamaa, tumepima muhimbili (Mirija ya uzazi iko ok, cervix iko ok na nk, vipimo vyote vya damu vipo ok, doctor bingwa wa akina mama anakili kuwa wife hana tatizo lolote lakini ndio hivyo zinatoka).
Mpaka sasa ni zaidi ya mimba 8 zimetoka katika umri tofauti zingine miezi zaid ya 5, nyingine miezi miwili tu, zingine zinatoka ndani ya mwezi mmoja.
Nimehangaika vya kutosha mpaka wa waganga wa jadi tatizo liko pale pale sasa nimeona nililete kwenu wana MMU maana najua hapa kuna watu wengi wanajua mengi. naomba msaada wenu.
juzi nilikuwa naongea na wife mambo mengine ya maisha nikamwona kakata tamaa kwenye hili la kupata mtoto na alikuwa anataka kuniambia kitu nikawa nahisi anataka kuniambia kitu ambacho sipendi kukisikia kutoka kwake nikawa nimejibaraguza pale ili asikiseme nahisi ni kibaya.
Mimi sijawahi kumpa mimba msichana yeyote tofauti na yeye na sitaki kufanya hivyo nataka nikomaa na wife mpaka tuone la mwisho.
Nisaidie nifanyaje
Naomba mnisaidie mawazo: Nimeoa miaka 7 iliyopita maisha na wife ni ya furaha kwa ujumla japo mara moja moja magomvi kidogo ila furaha kwa sana.
Tatizo langu wana MMU sijabarikiwa kupata mtoto, kila my wife akipata mimba zinatoka, kila mara mpaka sasa nahisi mwenzangu anakata tamaa, tumepima muhimbili (Mirija ya uzazi iko ok, cervix iko ok na nk, vipimo vyote vya damu vipo ok, doctor bingwa wa akina mama anakili kuwa wife hana tatizo lolote lakini ndio hivyo zinatoka).
Mpaka sasa ni zaidi ya mimba 8 zimetoka katika umri tofauti zingine miezi zaid ya 5, nyingine miezi miwili tu, zingine zinatoka ndani ya mwezi mmoja.
Nimehangaika vya kutosha mpaka wa waganga wa jadi tatizo liko pale pale sasa nimeona nililete kwenu wana MMU maana najua hapa kuna watu wengi wanajua mengi. naomba msaada wenu.
juzi nilikuwa naongea na wife mambo mengine ya maisha nikamwona kakata tamaa kwenye hili la kupata mtoto na alikuwa anataka kuniambia kitu nikawa nahisi anataka kuniambia kitu ambacho sipendi kukisikia kutoka kwake nikawa nimejibaraguza pale ili asikiseme nahisi ni kibaya.
Mimi sijawahi kumpa mimba msichana yeyote tofauti na yeye na sitaki kufanya hivyo nataka nikomaa na wife mpaka tuone la mwisho.
Nisaidie nifanyaje