Msaada wana tatizo la uzazi

Msaada wana tatizo la uzazi

pole sana. kuna ile kitu wataalamu wanaijua inahusika na rhesus factors in blood group..upime hiyo kitu..mi sina utaalam bali nina idea tu, yaani unaambiwa kama hizo chembechembe zenu haziendani piga ua hapatikani mtoto hapo. ikitoke ni mmoja tu kwa bahati. usimuache mkeo mnaweza ku adopt watoto.

blood group haina shida wote tuna 0+. nimejipa miaka mitano ikishindikana ntaadopt
 
Pole kiongozi' lakini hongera sana kwakuwa na moyo wa ujasiri na uvumilivu' huo ndo uanaume mkuu!!

Pamoja na maombi' lazima ukumbuke imani inaanza nawewe na mkeo' maana hata mkafunga miaka mia kwa maombi kama imani yako ni haba itakuwa ni sawa na bure.! Hivyo amini kwamba hakuna jambo linaloshindikana kwa muumba, na kwakufanya hivyo next time utakuja na habari nzuri hapa jukwaani.

Kila lakheri ndugu!

Amina sana
 
Inawezekana kipindi cha nyuma mkeo alitoa mimba sana,na ndiyo imepelekea kizazi kiwe tepetepe (chepesi) mfuko kushindwa kumwifadhi mtoto,sasa inatakiwa akipata mimba ingine uwahi hospitali ashonewe na atapewa bed rest ili kunusuru kiumbe kilichopo tumboni kisitoke,,pia maombi ni silaa achana na waganga wa kienyeji ambao watakua wanakutuma kuku na mbuzi kwa manufaa yao,hawatakusaidia kitu,mtumaini mungu ni mwema anasamehe yote na atakupa faraja ya maisha nawe utaitwa baba
 
Inawezekana kipindi cha nyuma mkeo alitoa mimba sana,na ndiyo imepelekea kizazi kiwe tepetepe (chepesi) mfuko kushindwa kumwifadhi mtoto,sasa inatakiwa akipata mimba ingine uwahi hospitali ashonewe na atapewa bed rest ili kunusuru kiumbe kilichopo tumboni kisitoke,,pia maombi ni silaa achana na waganga wa kienyeji ambao watakua wanakutuma kuku na mbuzi kwa manufaa yao,hawatakusaidia kitu,mtumaini mungu ni mwema anasamehe yote na atakupa faraja ya maisha nawe utaitwa baba

Amekwambia cervix haina tatizo wala tatizo lolote kwenye kizazi unataka akashonewe nini?
 
Back
Top Bottom