Akatanyukwire
Member
- Oct 13, 2012
- 35
- 27
- Thread starter
- #21
km hutojali ni PM
kwa msaada zaidi nakwambia atakuzalia watt
biblia inasema 'hakutakuwa na tasa wala mwenye kuharibu mimba. ....
asante nafarijika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
km hutojali ni PM
kwa msaada zaidi nakwambia atakuzalia watt
biblia inasema 'hakutakuwa na tasa wala mwenye kuharibu mimba. ....
pole sana. kuna ile kitu wataalamu wanaijua inahusika na rhesus factors in blood group..upime hiyo kitu..mi sina utaalam bali nina idea tu, yaani unaambiwa kama hizo chembechembe zenu haziendani piga ua hapatikani mtoto hapo. ikitoke ni mmoja tu kwa bahati. usimuache mkeo mnaweza ku adopt watoto.
Pole kiongozi' lakini hongera sana kwakuwa na moyo wa ujasiri na uvumilivu' huo ndo uanaume mkuu!!
Pamoja na maombi' lazima ukumbuke imani inaanza nawewe na mkeo' maana hata mkafunga miaka mia kwa maombi kama imani yako ni haba itakuwa ni sawa na bure.! Hivyo amini kwamba hakuna jambo linaloshindikana kwa muumba, na kwakufanya hivyo next time utakuja na habari nzuri hapa jukwaani.
Kila lakheri ndugu!
blood group haina shida wote tuna 0+. nimejipa miaka mitano ikishindikana ntaadopt
Wife wako alitoa mimba sana enzi hamjaoana mpaka kizazi kimelegea.
amini inawezekana mkuu
kwa Mungu kila kitu kinawezekana
Inawezekana kipindi cha nyuma mkeo alitoa mimba sana,na ndiyo imepelekea kizazi kiwe tepetepe (chepesi) mfuko kushindwa kumwifadhi mtoto,sasa inatakiwa akipata mimba ingine uwahi hospitali ashonewe na atapewa bed rest ili kunusuru kiumbe kilichopo tumboni kisitoke,,pia maombi ni silaa achana na waganga wa kienyeji ambao watakua wanakutuma kuku na mbuzi kwa manufaa yao,hawatakusaidia kitu,mtumaini mungu ni mwema anasamehe yote na atakupa faraja ya maisha nawe utaitwa baba
Dr. asakuta same saidia hii kitu hapa.