Msaada: Wanaoijua Mgambo JKT Tanga ikoje mazingira yake?

Msaada: Wanaoijua Mgambo JKT Tanga ikoje mazingira yake?

Magonjwa si yapo tu kokote,,ila hata ukiumwa hakuna mapumziko ya maana ila sie muda mwingi tulikua tunajiuguza ki uongo uongo mtu unaenda hosptal unadanganya kichwa sijui nini wakipima hauna lolote hadi joto kawaida ni vile tulikua tunafurahia kale ka muda ka kukaa hosptal wakati mazoezi/kazi zinaendelea.Aisee jeshi ni wito haswaa miezi mitatu niliona miaka kumi.HONGERENI WANAJESHI WETU
Nilikaa mwaka... Ruvu 6 months and Rwamkoma 6 months. That was 1970s.
 
Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwkwaa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
kwa mgambo sikuona ukatili wowote zaidi ya kazi na mazoezi ya kawaida tu(lakini mimi kwa upande wangu yalikua magumu)japo mwisho wa siku nilifungua moyo kishingo upande.
 
sikumbuki maana sifuatilii mambo hayo. Wanangu hakuna aliyekwenda jkt hivyo sifuatilii. Last one ndiyo amechaguliwa kwenda hapo.
Hivi JKT imerudi siku hizi? Ni watu gani wanapaswa kwenda? Ni hiari au lazima? Ni muda gani?
 
Nilitoka huko mwaka 2018 jiandae kuvuna mahindi kwenye shamba dunia lako vizuri ki hali ya hewa ila kuhusu mawasiliano kiukweli mtandao unasumbua sana nenda na laini ya Airtel
 
Back
Top Bottom