Nilikaa mwaka... Ruvu 6 months and Rwamkoma 6 months. That was 1970s.Magonjwa si yapo tu kokote,,ila hata ukiumwa hakuna mapumziko ya maana ila sie muda mwingi tulikua tunajiuguza ki uongo uongo mtu unaenda hosptal unadanganya kichwa sijui nini wakipima hauna lolote hadi joto kawaida ni vile tulikua tunafurahia kale ka muda ka kukaa hosptal wakati mazoezi/kazi zinaendelea.Aisee jeshi ni wito haswaa miezi mitatu niliona miaka kumi.HONGERENI WANAJESHI WETU
Kombania gani hiyo aisee!!?Hahahaaaa mwaka wangu pia
Hata wagonjwa wana kazi zao jeshi na wana mazoezi yao. So usijipe moyo sanaKwani kule jeshini wanaruhusu kuumwa???
eagle,wewe?Kombania gani hiyo aisee!!?
Kombania gani hiyo aisee!!?
Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..Hata wagonjwa wana kazi zao jeshi na wana mazoezi yao. So usijipe moyo sana
Huwa wanatoa wao wenyewe hawalazimishwiNawaone huruma mabinti ,wengi wanaenda kupata ngoma tu.
Haaa ...eagle coy pia,,,labda kama tumetofautiana intake!eagle,wewe?
Nawaonea huruma saaaanah!!Nawaone huruma mabinti ,wengi wanaenda kupata ngoma tu.
Na ndiyo maana huwa wanapimwa kabla ya kozi kuanza.Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
kwa mgambo sikuona ukatili wowote zaidi ya kazi na mazoezi ya kawaida tu(lakini mimi kwa upande wangu yalikua magumu)japo mwisho wa siku nilifungua moyo kishingo upande.Kufanya kazi siyo shida, shida ni ukatili wa wanajeshi. Kambi zingine CO huwkwaa wengine wanakataa kabisa kuruta kuteswa out of mazoezi ya jeshi per se..
King Kong acha hizo. Ukimripoti afande wa hivyo atapata taabu san.Mazingira ya huko wanalazimika kutoa mizigo ili maisha yasiwe magumu.
ile intake ya kwanza kabisaaa yan unatoka shule na kuanza harakat kuelekea kikosiniHaaa ...eagle coy pia,,,labda kama tumetofautiana intake!
King Kong acha hizo. Ukimripo fande wa hivyo atapata taabu san.
Hivi JKT imerudi siku hizi? Ni watu gani wanapaswa kwenda? Ni hiari au lazima? Ni muda gani?sikumbuki maana sifuatilii mambo hayo. Wanangu hakuna aliyekwenda jkt hivyo sifuatilii. Last one ndiyo amechaguliwa kwenda hapo.
Mim ya pil, selections za vyuo zilitukutia huko.ile intake ya kwanza kabisaaa yan unatoka shule na kuanza harakat kuelekea kikosini
King Kong acha hizo. Ukimripo fande wa hivyo atapata taabu san.Mazingira ya huko wanalazimika kutoa mizigo ili maisha yasiwe magumu.
Form six ni lazimaHivi JKT imerudi siku hizi? Ni watu gani wanapaswa kwenda? Ni hiari au lazima? Ni muda gani?