luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Vipimo vya mimba vipo kampuni nyingi.yeye si amuulize mhusika?amepima nini? Natamani huyo demu mlete hapa nimpime maana nilivyoboboa nazidi Dr😂
😂😂miaka Fulani nishakuwaga teacher bana Siku moja tukapima watoto wa kike wote uwiiii 8 wote wana mimba, hapo ndipo nilienda semina yule Dr alinifundisha kupima mimba kwa macho, mikono kujua ikiwa na miezi mingapi unajuaje .kwa sasa nikimuona tu MTU najua kila kitu.
😂😂miaka Fulani nishakuwaga teacher bana Siku moja tukapima watoto wa kike wote uwiiii 8 wote wana mimba, hapo ndipo nilienda semina yule Dr alinifundisha kupima mimba kwa macho, mikono kujua ikiwa na miezi mingapi unajuaje .kwa sasa nikimuona tu MTU najua kila kitu.