Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Wadau salama hapa ndani? Niliwahi kusoma uzi hapa JF kwamba kuna raia wanaosaidia kutoa gari bandarini hata kama huna pesa ya kulipia TRA mnaingia makubaliano ya kulipia kidogo kidogo baada ya yeye kulipa. Hii imekaaje? Hakuna utapeli ndani yake?
Nina mpunga kidogo hapa ambao unatosha tu kulipia gari mpaka kuifikisha bandarini, sasa nataka nipate hao wadau ili tufanye biashara. Naomba ushauri wenu wa kitaalam wakuu, maana matapeli mayo yametamalaki kila kona nisije nikapigwa!
Nina mpunga kidogo hapa ambao unatosha tu kulipia gari mpaka kuifikisha bandarini, sasa nataka nipate hao wadau ili tufanye biashara. Naomba ushauri wenu wa kitaalam wakuu, maana matapeli mayo yametamalaki kila kona nisije nikapigwa!