wapi[duh] afadhali nasi tumejifunza
Huawei lua mkuuSio suala la app ndugu...
Unavyoandika chochote hizo symbols zipo kwa juu..
Au unatumia nini !??
Nyota unaweka watsup ila jf unaanza na [ b ] usiruke nafasi kisha unaandika maneno utakayo
Habari za muda ndg wa jamii forum
Naenda moja kwa moja ,
Huwa natamani sana na mm kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze . Afu pia maneno ya rangi
Asanteni nawasilisha .