Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mi natumia cm.. Tecno y3 na hizo features zinakubaliMkuu kama unatumia mobile application sio rahisi kubold, kupaka rangi wala kukuza maandishi, etc. Kama unatumia web application kwenye simu au kompiuta inawezekana kufanya hivyo kwa kufuata hizo alama nilizozungushia hapo kwenye mchoro (tazama mchoro hapo chini). Ukigusisha buku yako kwenye herufi zilizopo juu ya ukurasa wako wa kuandikia, utaona kwamba B inamaanisha bold, I inammanisha italic, U, underline, nk. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni kuchagua/highlight maneno unayotaka kufanyia ukarabati na kutekeleza aunachotaka kukifanya mubashara. Bila shaka umenielewa mkuu.
View attachment 525727
Basi ukiona hivyo ujue unatumia JF web/computer version, sio JF mobile version/application. Unaweza ukatumia computer version kwenye baadhi ya simu zikakubali lakini sio zote.Mbona mi natumia cm.. Tecno y3 na hizo features zinakubali
[/B]Doh[/color]
Mkuu umeenda kinyume kabisa na signature yako inavyosema: “Be an encourager. The world has plenty of critics already.”
Umetumia pc au sim!?Testing this
[Test]Kubold maneno JF ni [ b ] bananisha hapo kisha andika maneno yatakua bolded
Hiyo sawa! Vipi colors?Kubold maneno JF ni [ b ] bananisha hapo kisha andika maneno yatakua bolded
Basi ukiona hivyo ujue unatumia JF web/computer version, sio JF mobile version/application. Unaweza ukatumia computer version kwenye baadhi ya simu zikakubali lakini sio zote.
Doh[/color]
Nakuweka colours mbalimbali unafanyaje?
Mabano uwe unajua majina ya rangi pia unaandika color badala ya colourHiyo sawa! Vipi colors?
Smart zote zinakubali computer version with Chrome browser..Basi ukiona hivyo ujue unatumia JF web/computer version, sio JF mobile version/application. Unaweza ukatumia computer version kwenye baadhi ya simu zikakubali lakini sio zote.
Jaribu tena mfano [ b ]vinakataa(vinakataa)
Mkuu muuliza swali nakukubali sana maana umesaidia watu wengi katika hili suala...kama mm nilikuwa sijui jinsi ya kubold whatsapp.
[Duh]View attachment 525721
Tumia symbols hizo kubadili na kuremba mwandiko utakavyo...
Ndani ya mabano weka b kisha neno test liweke nje ya mabano[Test]