Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

Mkuu kama unatumia mobile application sio rahisi kubold, kupaka rangi wala kukuza maandishi, etc. Kama unatumia web application kwenye simu au kompiuta inawezekana kufanya hivyo kwa kufuata hizo alama nilizozungushia hapo kwenye mchoro (tazama mchoro hapo chini). Ukigusisha buku yako kwenye herufi zilizopo juu ya ukurasa wako wa kuandikia, utaona kwamba B inamaanisha bold, I inammanisha italic, U, underline, nk. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni kuchagua/highlight maneno unayotaka kufanyia ukarabati na kutekeleza aunachotaka kukifanya mubashara. Bila shaka umenielewa mkuu.
View attachment 525727
Mbona mi natumia cm.. Tecno y3 na hizo features zinakubali
 
Basi ukiona hivyo ujue unatumia JF web/computer version, sio JF mobile version/application. Unaweza ukatumia computer version kwenye baadhi ya simu zikakubali lakini sio zote.
Smart zote zinakubali computer version with Chrome browser..

Wa install chrome browser then walog in JF.. unafanya kila kitu kama PC
 
Back
Top Bottom