Ukitaka kubold kwa whatsapp ni kama mdau alivyoelekeza hapo juu kwamba unaweka neno/maneno unalotaka kubold katikati ya nyota. hii sijaijaribu bado.Tusaidieni kwa whatsap
mobile app...Umetumia pc au sim!?
Elekeza kwa hapa jamii forum plz mkuusimu
nakushukuru unafaa kuwa mwalimuKuweka rangi andika hivi [ co lor = r e d ]kisha andika neno utakalo. Hapo kwwnye mabano usiache nafasi
Habari za muda ndg wa jamii forum
Naenda moja kwa moja ,
Huwa natamani sana na mm kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze . Afu pia maneno ya rangi
Asanteni nawasilisha .
Ahsante@NumbisaNIMEWEZAKubold maneno JF ni [ b ] bananisha hapo kisha andika maneno yatakua bolded
[ najaribu ]Ahsante@NumbisaNIMEWEZA
TestNdani ya mabano weka b kisha neno test liweke nje ya mabano
Anza na [ halafu weka b kisha weka ] halafu weka neno lako hakikisha unabananisha_mfanoElekeza kwa hapa jamii forum plz mkuu
Ulitaka ubold au?[Saws]
karibu na wewe ufundishe naona sasa umekuwa mwalimu.jamani bado inawasumbua?
Ulitaka kubold?[Saws]
Jaribu tena mfano [ b ]vinakataa
Hapo kwwnye mabano bananisha
nakushukuru unafaa kuwa mwalimu