daah tatizo apo tuHabarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
daah tatizo apo tu
toa ukabila wewe
angalia mtu binafs unayozani yapo kwa mchaga uenda usiyakute na i globalizationj watu washachakachua mila na desturi vya kutosha uwez kuta CREAM KABILA thats uyu ni mchaga aliyekamilika kwa kila kitu cha kichaga apana noooo..mashulen umo tunajichanganaya ukabila unapungua,kazin na IT IZI ndo zmearibu kila kitu
we angalia anayayekufaa labda ungesema nataka mtanzania nisingetaka mwarabu au msomali ..bt NATAKA MCHAGA ONLY..mmh sijui lakin..THAST IZ OL I THK TOA UKABILA WEWE
bt km vp na mungu akujalie umpate manka wako!!!!!!!
hahahhaaaa hahah ndo mana unaitwa kituko!!!!!Muulize kama anataka WIFE MATERIAL AMA?
Huyu bado wa zamani kweli anapenda ukabila?? Ndo maana hapati mchumba huyu aaahhh
nakubali kuondoa kabila...
Heeee!wee vipi?*?usikubali kwa kulazimishwa follor ur hurt!kwann mchaga?au ww ni herineema unamtaka sia?je sisi ambao kabila letu ni watoto wa town(eg baba msukuma + mama mwarabu=hatujui kisukuma wala kiarabu)?:nerd:
Heeee!wee vipi?*?
baba msukuma + mama mwarabu=Msukuma
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
i new this was coming and i could see it coming
daah tatizo apo tu
toa ukabila wewe
angalia mtu binafs unayozani yapo kwa mchaga uenda usiyakute na i globalizationj watu washachakachua mila na desturi vya kutosha uwez kuta CREAM KABILA thats uyu ni mchaga aliyekamilika kwa kila kitu cha kichaga apana noooo..mashulen umo tunajichanganaya ukabila unapungua,kazin na IT IZI ndo zmearibu kila kitu
we angalia anayayekufaa labda ungesema nataka mtanzania nisingetaka mwarabu au msomali ..bt NATAKA MCHAGA ONLY..mmh sijui lakin..THAST IZ OL I THK TOA UKABILA WEWE
bt km vp na mungu akujalie umpate manka wako!!!!!!!
najua wewe ni mwalimu wa mwandiko na si lugha !!!!spellin plz!!!
spellin plz
ebu toa kwanza kibanzi kwenye jicho lako then uje unitoe kigogo kwenye mboni yangu i nzuri ninayokukonyenza nayo daily!!!