msaada wandugu

msaada wandugu

Kiduku

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
478
Reaction score
73
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
 
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
daah tatizo apo tu
toa ukabila wewe
angalia mtu binafs unayozani yapo kwa mchaga uenda usiyakute na i globalizationj watu washachakachua mila na desturi vya kutosha uwez kuta CREAM KABILA thats uyu ni mchaga aliyekamilika kwa kila kitu cha kichaga apana noooo..mashulen umo tunajichanganaya ukabila unapungua,kazin na IT IZI ndo zmearibu kila kitu
we angalia anayayekufaa labda ungesema nataka mtanzania nisingetaka mwarabu au msomali ..bt NATAKA MCHAGA ONLY..mmh sijui lakin..THAST IZ OL I THK TOA UKABILA WEWE
bt km vp na mungu akujalie umpate manka wako!!!!!!!
 
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari

Awe bado bikra au?????hii sifa mbona huipi nafasi
 
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari

Unachagua mno ndo maana wanakukataa ..
sijui hata nikushauri nini
 
daah tatizo apo tu
toa ukabila wewe
angalia mtu binafs unayozani yapo kwa mchaga uenda usiyakute na i globalizationj watu washachakachua mila na desturi vya kutosha uwez kuta CREAM KABILA thats uyu ni mchaga aliyekamilika kwa kila kitu cha kichaga apana noooo..mashulen umo tunajichanganaya ukabila unapungua,kazin na IT IZI ndo zmearibu kila kitu
we angalia anayayekufaa labda ungesema nataka mtanzania nisingetaka mwarabu au msomali ..bt NATAKA MCHAGA ONLY..mmh sijui lakin..THAST IZ OL I THK TOA UKABILA WEWE
bt km vp na mungu akujalie umpate manka wako!!!!!!!

Muulize kama anataka WIFE MATERIAL AMA?
 
pool yako ya kuchagua mwenza naona umeifinya sana ...


ungeanza na kuondoa kigezo cha kabila kwanza nafikiri ungejipa msaada, pia kigezo cha umri, hebu weka hadi angalau 35 hapo
 
Huyu bado wa zamani kweli anapenda ukabila?? Ndo maana hapati mchumba huyu aaahhh
 
usikubali kwa kulazimishwa follor ur hurt!kwann mchaga?au ww ni herineema unamtaka sia?je sisi ambao kabila letu ni watoto wa town(eg baba msukuma + mama mwarabu=hatujui kisukuma wala kiarabu)?:nerd:
nakubali kuondoa kabila...
 
usikubali kwa kulazimishwa follor ur hurt!kwann mchaga?au ww ni herineema unamtaka sia?je sisi ambao kabila letu ni watoto wa town(eg baba msukuma + mama mwarabu=hatujui kisukuma wala kiarabu)?:nerd:
Heeee!wee vipi?*?
baba msukuma + mama mwarabu=Msukuma
 
Mimi naona wanachofaidi watu katika kuwa na mke/mume kabila 1 ni
1.Kupunguza gharama haswa kama kipato chenu ni kidogo,kama ni safari ya likizo,misiba,parents caring etc inakuwa ni upande 1. Sio leo mko Kagera kesho mku Mtwara-mtachanganyikiwa.
2.Mila-mnakuwa mnaendana/shabihiana /karibiana-wengine kukaa na kichupi talking room ni la kawaidia wengine ni taboo.

Mkisema mambo ya utandawazi basi ni bora aende brazil ajue angalau amenunua mbuzi kwenye rambo-ahaaaaaaaaaaaaaaaah.
Ushauri wangu kama kweli uko more than serious niambie mchaga wa wapi exactly na nitakupa connection.
Cheers
 
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari


Baba ndio maana unawakosa unaweka vigezo utafikiri mganga wa kienyeji,kwa umri huo wasio na watoto japo wapo lakini ni wachache na inawezekana na wewe hufikii vigezo vyao lakini kwenye uchaga kwa kuwa umeanza kaubaguzi ka kabila ungespecify kabisa unataka mchaga wa Uru,Kibosho,Machame,Rombo,Marangu,Mwika au wapi?
 
daah tatizo apo tu
toa ukabila wewe
angalia mtu binafs unayozani yapo kwa mchaga uenda usiyakute na i globalizationj watu washachakachua mila na desturi vya kutosha uwez kuta CREAM KABILA thats uyu ni mchaga aliyekamilika kwa kila kitu cha kichaga apana noooo..mashulen umo tunajichanganaya ukabila unapungua,kazin na IT IZI ndo zmearibu kila kitu
we angalia anayayekufaa labda ungesema nataka mtanzania nisingetaka mwarabu au msomali ..bt NATAKA MCHAGA ONLY..mmh sijui lakin..THAST IZ OL I THK TOA UKABILA WEWE
bt km vp na mungu akujalie umpate manka wako!!!!!!!

spellin plz!!!
 
Originally Posted by kiduku
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari


Mchaga na ukristu naona kama tautology vile au
 
Back
Top Bottom