Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Salamu wajasiriamali,
Kama mada inavyojieleza.
Ninaishi mkoa mmoja wapo wa Kanda ya Ziwa. Nina kahela kidogo nafikiria niingie vijijini wanakolima mpunga kwa wingi nikanunue magunia kadhaa niyahifadhi.
Sasa changamoto sijui niende sehemu gani ndani ya mikoa iliyopo ndani ya kanda ya ziwa ambako nitaweza kupata mpunga wa kutoka kutoka kwa wenyeji.
Mwenye ufahamu wowote juu ya hili anijuze hapa kwenye comment.
Asanteni.
Tujilinde dhidi ya Covid-19 inaua
Kama mada inavyojieleza.
Ninaishi mkoa mmoja wapo wa Kanda ya Ziwa. Nina kahela kidogo nafikiria niingie vijijini wanakolima mpunga kwa wingi nikanunue magunia kadhaa niyahifadhi.
Sasa changamoto sijui niende sehemu gani ndani ya mikoa iliyopo ndani ya kanda ya ziwa ambako nitaweza kupata mpunga wa kutoka kutoka kwa wenyeji.
Mwenye ufahamu wowote juu ya hili anijuze hapa kwenye comment.
Asanteni.
Tujilinde dhidi ya Covid-19 inaua