Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo yako hayajitoshelezi. Nani anakunyanganya, kwa sababu ipi, na wapi lilipo, (mjini, kijijini) Nenda kwenye uzi huu uombe msaada kwa @ dragoonJamani naomba msaada eneo langu linachukuliwa na limekwisha endelezwa nanyang'anywa bila kuusishwa nataka nifungue kesi msaada nisimamie sheria zipi na vifungu vipi?
Hakuna anayeweza kukunyanganya kirahisi hivyo. Kuna tatizo ambalo hutaki kulisema. Haiwezekani timu ya mpira ikaja kiholela hivyo kuchukua sehemu yako, neverEneo ni mjini Tim yampira ndo wana ling'ang'ia
Ila kweli, jamaa anaficha.Hakuna anayeweza kukunyanganya kirahisi hivyo. Kuna tatizo ambalo hutaki kulisema. Haiwezekani timu ya mpira ikaja kiholela hivyo kuchukua sehemu yako, never
Uwanja wangu umepakana na kiwanja cha mpira sasa wamiliki wa uo uwanja wa mpira wanatakakuuza kwa muwekezaji na muwekezaji anataka eneo kubwa kwaiyo wametuingilia hadi wanannchi tulio zunguka eneo la uwanja wanang'ang'ania kua ni eneo lao mbaya zaidi mwenyekiti wa kijiji ana mkono kwenye hiyo timu kwaiyo wanatumia kigezo cha mwenyekiti kua mwanachama wa timu iyo kutukandamiza wananchi nina barua ya sahihi za mtu alie niuzia eneo na sahihi za majirani na balozi ila bahati mbaya wote ni marehemu apo maelezo bado yajajitosheleza mkuuUnaombaje msaada kwa maelezo finyu kiasi hicho? sasa tunajuaje **** hao wanaokunyang'anya sio wenye haki ili hali huwezi kufafanua tatizo lilivyo?
Kama una mambo hauko tayari kuyaweka hadharani nadhani ungekimbilia haraka ofisi za Wanasheria badala ya huku JF.
Kama ni eneo lako na una nyaraka zote kuthibitisha hilo, basi unaweza kufungua kesi baraza la ardhi la kata(inategemea na thamani ya hiyo ardhi) au baraza la ardhi na nyumba la wilaya)Uwanja wangu umepakana na kiwanja cha mpira sasa wamiliki wa uo uwanja wa mpira wanatakakuuza kwa muwekezaji na muwekezaji anataka eneo kubwa kwaiyo wametuingilia hadi wanannchi tulio zunguka eneo la uwanja wanang'ang'ania kua ni eneo lao mbaya zaidi mwenyekiti wa kijiji ana mkono kwenye hiyo timu kwaiyo wanatumia kigezo cha mwenyekiti kua mwanachama wa timu iyo kutukandamiza wananchi nina barua ya sahihi za mtu alie niuzia eneo na sahihi za majirani na balozi ila bahati mbaya wote ni marehemu apo maelezo bado yajajitosheleza mkuu