Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Habari wakuu...
mwaka 2014 nilipopoma macho CCBRT na kuanza kutumia miwani ya kuniwezesha kuona mbali yenye namba 3.5 baada ya hapo sijawahi fanya check up tena ila nimekuwa nikibadilisha mawani kwa machinga kariakoo...
Je kuna madhara ninaweza kupata kwa wataalamu wa macho maana sijawahi ONA TATIZO tangu nimeanza kutumia...???
mwaka 2014 nilipopoma macho CCBRT na kuanza kutumia miwani ya kuniwezesha kuona mbali yenye namba 3.5 baada ya hapo sijawahi fanya check up tena ila nimekuwa nikibadilisha mawani kwa machinga kariakoo...
Je kuna madhara ninaweza kupata kwa wataalamu wa macho maana sijawahi ONA TATIZO tangu nimeanza kutumia...???