Msaada - Wataalamu wa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange)

Okay poa.... naona tunapoelekea hata vile vyeti vya umiliki hisa vitakuwa almost non existent
 
Dah! Hiyo nuksi mzee... ndo maana najitahidi kutoingia kichwakichwa aisee.
Ila kama umeiwahi NIO pongezi tele mkuu
Shukrani....wakati huo hakukua na option ya broker nikaona isiwe tabu niingie kwa etoro tu
 
Shukran....wakati huo hakukua na option ya broker nikaona isiwe tabu niingie kwa etoro tu
Safi! A very promising stock hiyo mzee komaa hivyo hivyo...na mimi am on the lookout for my unicorn stock pia 😄
 
Safi! A very promising stock hiyo mzee komaa hivyo hivyo
Naongeza position tu kadri inavyozidi kwenda juu yaani....wakati nasubir airbn IPO mwezi huu...ikiwa cheap nachukua zakutosha huku nasikilizia kuongeza position wakitoa next earning reports
 
Naongeza position tu kadri inavyozidi kwenda juu yaani....wakati nasubir airbn IPO mwezi huu...ikiwa cheap nachukua zakutosha huku nasikilizia kuongeza position wakitoa next earning reports
Safi sana mkuu 👏🏾👏🏾.
Ikawe heri kwako
 
Withdraw fee ni 5$ na CFD'S au stocks zozote zile nje ya US market au ETF zina fee. Lbda kama una focus na US stocks pekee na sio za sehemu nyngn km UK
All in all 212 n nzur kwa wenye capital ndogo na kwenye swala LA fees wamejitahid mim niliependa etoro kwasababu INA features nyingi ambzo zinarahisisha trading mfano Ku copy kwa wwngine wanvyo wekeza pamoja na kufanya livechat na professional brokers imenifanya nijifunze mengi
 
Nacho shauri bwana arien we can open our own group wasap kupeana tips za hapa na pale on stocks market. Kwa wale ambao watakuwa tyr
 
Mm sikuyajua aisee ss nakuja kujua nisha deposit na nina stocks kama za NIO ambazo nimetoka nazo mbali nimeona nibaki nayo tu ila nafuatilia km kuna possibìlity yaķuhamisha position zngu kma zilivyo kutoka etoro kwenda trading 212 nifanye hvyo
Duuh pole sana
 
Trading 212 minimum ni 1£....mm nina account kote na nime invest kwny platform zote hzo mbili na more reliable ndio hyo trading 212 zaidi kwa wstu wakipato cha chini
Naomba mwongozo ulifanikiwaje kufanya ID verification? Maana nimeweka passport na bank statement lakini wamekataa.
 
Naomba mwongozo ulifanikiwaje kufanya ID verification? Maana nimeweka passport na bank statement lakini wamekataa.
Mimi nipo middle east kwass kwahy natumia proof of residency ya huku,maana kuna mtu nilimshauri a register akiwa tz akaaambiwa kuwa hawachukui watu wake ss sijajua imeanza ln hyo situation...ila hyo ni kwa etoro. Japo trading 212 nadhani wanachukua watu wa nchi nyng kasoro america
 
Wanataka proof of Address, ambayo address yangu niliyojaza wakati najisajili itandana na document nitazo_upload, sasa issue ni kuwa, address niliyopo sasa nilijaza Dar es Salaam pamoja na mtaa niliopo, ila document zangu kama National ID, TIN, Driving License, na Passport zina address ya kule nilikozipatia (Iringa). so wanakataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…