Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Du chances hapo wote wa nusu ya genes za mama zao, si sawa na baba mmoja mama mmoja. Anyway yameshatokese. Kimila mnatakiwa kuchinja mnyama kwenye kaburi la babu ili kuua undugu ili waweze kuoana.
marriage within blood relations kuna uwezekano wa kupata genetics disorder, immune system inakuwa effected na mtoto atakayezaliwa anaweza kuwa weak
Kama kichwa cha habari kilivyojileleza,Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea,
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je Kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,sasa tufanyaje ili mtoto asipate madhara?Leeni mimba msubiri mjukuu hakuna namna nyingine
Kwahiyo yale yanayosemwa semwa sana kuhusu vinasaba si ya kweli?Hiyo kisayansi tunaiita inbred lines, hao shida yoyote wambieni walee mimba tu mtoto azaliwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaza poleni kwa fedheha. Suala la kuzaa taahira si kweli, ni myth na imani za watu tu. Katika dini ya Kiislam, watu hao waliozaa wanaruhusiwa kuoana bila shaka yoyote. Ikiwa mnaabudu dini hiyo basi baba wa bint amuozeshe kijana kwa mahari watakayokubaliana.Kama kichwa cha habari kilivyojileleza,Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea,
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je Kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanyaje Sasa ili huo udhaifu usitokee?marriage within blood relations kuna uwezekano wa kupata genetics disorder, immune system inakuwa effected na mtoto atakayezaliwa anaweza kuwa weak
Watu mnaabudu sana mashetani. Sasa hapo kama sio kufuru ni nini? Dini yako ndio imeagiza hivyo?Du chances hapo wote wa nusu ya genes za mama zao, si sawa na baba mmoja mama mmoja. Anyway yameshatokese. Kimila mnatakiwa kuchinja mnyama kwenye kaburi la babu ili kuua undugu ili waweze kuoana.
Huyu Ni mkubwa mwenzio?Hakuna watoto wanaotiana mimba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapahapa kijijini kwenu[emoji50][emoji44]
Taja kabila/kijiji n.k. ndio labda utajibiwa na wanayoyajua.
Uongo huo. Hao watoto kila mtu ana baba yake na kila mtu ana mama yake.marriage within blood relations kuna uwezekano wa kupata genetics disorder, immune system inakuwa effected na mtoto atakayezaliwa anaweza kuwa weak
mungu yupo na mila zipo, haya ya kujifanya kuacha mila ndio hayo yalopelekea kufika huku kote, hao wazungu wenyewe walofundisha kuacha mila zetu wao tamaduni zinaparaganyika kwa uzungu wao wenyewe, hivyo sisi waafrika tusijifanye kudharau sana mila zetu,Mambo ya kuchinja mnyama ni kukaribisha utawala wa shetani ndani ya familia. Hapo hakuna jinsi ni kuacha tu litokee lenye kutokea, msije mkafikiria hata kuitoa hiyo mimba mtatengeneza balaa
mungu yupo na mila zipo, haya ya kujifanya kuacha mila ndio hayo yalopelekea kufika huku kote, hao wazungu wenyewe walofundisha kuacha mila zetu wao tamaduni zinaparaganyika kwa uzungu wao wenyewe, hivyo sisi waafrika tusijifanye kudharau sana mila zetu,
Sent using Jamii Forums mobile app