Dah...Mungu hauhusiki kwa lolote hapo....Kama aliwaumba kwanza Adam na Eve pekee....wakapata watoto...na wakapata wajukuu...jiongeze[emoji41]Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea.
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Mimba inapotolewa kwa sababu yoyote ile kitendo hicho sio mauaji, kumbuka mimba siyo mtoto, mtoto ni yule aliyezaliwa ambapo ukimtoa uhai mara baada ya kumzaa au hapo baadaye hapo ndipo kitendo cha uuaji kitakuwa kimefanyika, lakini mimba (zygote) ambayo bado inategemea supply ya chakula na hewa kutoka kwa mama hiyo mimba inakuwa ni sehemu ya mwili wa mama na hapo anakuwa na hiyari ya kuitoa au laa.
Mimi niliposema mimba ya hao wana ndugu itolewe nilikuwa na hoja hii (ambayo umeikubali) kwamba watu wa damu moja wakizaa basi madhara ya kiafya mara nyingi hutokea katika watoto wanaozaliwa, sasa it would be inhuman to procreate a congenitally defective offspring deliberately while for sure you knew it would be suffering its entire life, forget about your suffering, as parents, from its upbringing. -- spending time, money and resources in its catering, something you knew before giving birth.
Na ndiyo maana leo kuna ultrasound, MRI nk, vyombo vya uchunguzi na elimu ya tiba na katika genetics ni kubwa kuweza kujua madhara mbalimbali ya kiafya hata kabla mtoto hajazaliwa sasa tutaishije kama watu wa karne ya 15??.
Wataalamu wa wanyama veternary doctors wanapohamilisha (insemination) wanyama ili kupata uzao bora usiokuwa na kasoro huchukua mbegu kutoka dume mwingine kabisa na wala sio dume kutoka katika ukoo uleule na hii ni kuepusha madhara ya kigenetic na magonjwa ya kurithi, sasa why should it be exceptional to humans as they are technically like animals in the case??!!--sasa itakuaje sisi tuishi tu kwa kujamiana hovyo kuliko hata hao wanyama tunao wa treat decently !!ππ
tukubaliane kutokukubaliana me kwangu zygote ana haki zote kama binadamu mtarajiwa kama ambavyo kidole kina haki ya kuishi kwenye mkono (endapo hakina kansa) ila kukikata sababu watu walifanya sex zao nao ni ndugu sijakubaliana ila ndo hivyo maoni mbalimbaliUnaelewa maana ya parasite??, mfano minyoo ndani ya tumbo ndiyo parasite lakini siyo "Zygote", zygote ni sehemu ya mwili wa mama kwa sababu mama naye amechangia to its makeup.
Kutoa mimba unaweza kama ukipenda kuita ni "crime" lakini si kosa la mauaji, kutoa mimba ni sawa na mtu kukata kidole chake chenye kansa au kisichokuwa na kansa.
Zygote ni mtu asiyekamilika na wala siyo "binadamu" asiyekamilika, kwa sababu maendeleo ya kukua kwake yanategemea mtu/binadamu mwingine ambayo anayo mamlaka kamili juu yake.
Mtoto anapozaliwa hapo anakuwa ni "independent person" na anazo haki zote kama mtu kamili na hapo ukimuua utakuwa na hatia ya kuua.
Kuhusu kula "zygote" hiyo ni canibalism, ni sawa na kula viungo vya mtu-- ni mwehu yule anayefikiria such a nasty stupid deed let alone committing the deed.
Kuoana ndugu watoto wa "Ami" ni mila za waarabu, katika historia koo na makabila ya waarabu waliishi kwa uhasama na vita kwa muda mrefu hivyo hata kuoleana kati ya makabila ilikuwa ni taabu au ilikuwa ni katika kulinda "ujasiri" na ufahari wa koo zao ndiyo maana wakaoleana wao kwa wao, sasa siwezi kuwakataza watu kuiga mila za aina hii ila ninachoweza kufanya ni kutoa tahadhari juu ya " diverse repercussions" zake na kwaambia kuwa mambo hayo ni mila za waarabu na kisayansi ni jambo hatari kwa wazaliwa (offsprings).
tukubaliane kutokukubaliana me kwangu zygote ana haki zote kama binadamu mtarajiwa kama ambavyo kidole kina haki ya kuishi kwenye mkono (endapo hakina kansa) ila kukikata sababu watu walifanya sex zao nao ni ndugu sijakubaliana ila ndo hivyo maoni mbalimbali
mkuu unaongelea upande wa kuokoa maisha ya mama, huko sina neno napo ni sawa napo kabisa ila kwa swala la kaka na dada wamepeana mimba waachwe wazae tu maana wataona njia nyepesi ni kutoa tu na wataendelea mifano tunayo kwenye jamiiSawa mkuu, lakini tafakari sana juu jambo hilo, Zygote siyo mtu tupilia mbali binadamu, naam waweza sema "mtu mtarajiwa" na mtu mtarajiwa bado hajawa mtu bali anatarajiwa kuwa mtu hapo baadaye.
Aborting a zygote out of any reason, either good or bad is not a murder offence.
Na siku zote yanafanyika hayo kuokoa maisha ya mama, (in favour of mother life and not in favour of Zygote life).
mkuu unaongelea upande wa kuokoa maisha ya mama, huko sina neno napo ni sawa napo kabisa ila kwa swala la kaka na dada wamepeana mimba waachwe wazae tu maana wataona njia nyepesi ni kutoa tu na wataendelea mifano tunayo kwenye jamii
nimewaza kibinafsi sababu hiyo idea yote ya dada kupewa mimba na kaka haijakaa sawa ina ukakasi mno ila nimejaribu kufikiria kuangalia logic yako, ni vibaya sana kutoa mimba lakini adhabu yake sio kifo kama ambayo mtu ambaye ameshazaliwa angeuwawa, na hili wazo la kuwa hii ni kitu immoral ni kweli tumeitoa kwenye dini hasa torati ila kuna sehem adhabu ya mume aliyempiga mkewe na kusababisha abortion imewekwa kuwa tofauti na adhabu ya mwanamume amempiga mkewe na kusababisha abortion na kifo cha mama kuwa auawe na yeye (nadhani wanahesabu binadamu baada ya kuzaliwa), i think a belief that "a human being exists at conception" is a matter of faith, not fact - pamoja mkuu!Wewe ni lazima ufikiri jambo hilo kama "gentle man" and wise man (mwanamume mwenye busara).
Mtu kutembea na dada yake ni incest lakini mtu kuzaa na dada yake ni much more incest kwa sababu kutembea inaweza kuwa siri lakini kuzaa inakuwa siyo siri tena, mbaya zaidi kuna nafasi ya kuzaa mtoto ZOMBIE ambaye anaweza kuwa na maisha ya dhiki na pia akawapa shida hao wazazi katika malezi na pia anakuwa ni mtu asiye na faida kwa taifa kwa ujumla licha ya kutokuwa na faida kwa wazazi.
Unatakiwa uliangalie hilo jambo katika mtazamo huo na siyo mtazamo finyu kama huo wako. Mtazamo wa ubinafsi na wa "SHAURI YAO"
yapa makabila haitawezekama zaidi ya kutambika wa kiume atafukuzwa kijijini ila akija huku pwani kwa wazigua freshi tu wanaonaDu chances hapo wote wa nusu ya genes za mama zao, si sawa na baba mmoja mama mmoja. Anyway yameshatokese. Kimila mnatakiwa kuchinja mnyama kwenye kaburi la babu ili kuua undugu ili waweze kuoana.
i think a belief that "a human being exists at conception" is a matter of faith, not fact - pamoja mkuu!
kabisaa mkuu, sasa nashangaa wanavyohangaika kutaka kudhulumu nafsi wakati upo uwezekano wa jambo hilo kufanyika wakaona na wakazaa watoto safi tu maisha yakaendelea, hizo habari za utaahira ni imani pofu(blind).Hao kwa mila ya kiislam, km ni mtoto wa baba mkubwa na baba mdogo wanayo haki ya kuonana
kabisaa mkuu, sasa nashangaa wanavyohangaika kutaka kudhulumu nafsi wakati upo uwezekano wa jambo hilo kufanyika wakaona na wakazaa watoto safi tu maisha yakaendelea, hizo habari za utaahira ni imani pofu(blind).
hahaha hizi mambo ni shidaaUsichanganye mila za waarabu na Uislamu, watu kuoana kaka na dadake, (watoto wa kaka au wa dada wa damu) ni mila za waarabu hata kabla ya Uislamu.
Ukiangalia historia ya waarabu moja ya mambo yaliyotamalaki miongoni mwao ilikuwa ni uadui kati ya koo na koo au kabila na kabila, hivyo basi uadui huo ulienda hadi kushindwa kuoleana, yaani kijana anataka kuoa lakini aoe wapi ilhali koo au kabila ambamo anataka kuoa ni maadui zao!!,, jambo jingine baya lililokuwepo miongini mwa waarabu ni majivuno ya kikabila au kiukoo, yaani koo fulani zilijiona ni bora kuliko koo fulani na kuoa katika koo hizo ilikuwa taabu sana au kijana kutoka katika koo "bora" ilikuwa ni laana au fedheha kuoa katika koo dhalili.
Kwa muktadha huo ndio maana ndugu wakawa wanaoana na kwa bahati mbaya mila hiyo ikaingizwa katika uislamu na wanatoa aya kuunga mkono kuwa jambo hilo halijakatazwa ndani ya Qur'an, lakini hebu waulize katika Qur'an imekatazwa wapi mjukuu kuoa bibi yake au babu kuoa mjukuu wake wa kike??ππ.
Unataka kutuambia qurun ilichachukuliwa?Usichanganye mila za waarabu na Uislamu, watu kuoana kaka na dadake, (watoto wa kaka au wa dada wa damu) ni mila za waarabu hata kabla ya Uislamu.
Ukiangalia historia ya waarabu moja ya mambo yaliyotamalaki miongoni mwao ilikuwa ni uadui kati ya koo na koo au kabila na kabila, hivyo basi uadui huo ulienda hadi kushindwa kuoleana, yaani kijana anataka kuoa lakini aoe wapi ilhali koo au kabila ambamo anataka kuoa ni maadui zao!!,, jambo jingine baya lililokuwepo miongini mwa waarabu ni majivuno ya kikabila au kiukoo, yaani koo fulani zilijiona ni bora kuliko koo fulani na kuoa katika koo hizo ilikuwa taabu sana au kijana kutoka katika koo "bora" ilikuwa ni laana au fedheha kuoa katika koo dhalili.
Kwa muktadha huo ndio maana ndugu wakawa wanaoana na kwa bahati mbaya mila hiyo ikaingizwa katika uislamu na wanatoa aya kuunga mkono kuwa jambo hilo halijakatazwa ndani ya Qur'an, lakini hebu waulize katika Qur'an imekatazwa wapi mjukuu kuoa bibi yake au babu kuoa mjukuu wake wa kike??[emoji16][emoji16].
Je umeshawahi kuwaona na hawakuzaa watoto wenye utaahira Kama ambavyo sayansi inasema?Uislamu unaruhusu haina shida kama wewe ni muislamu
Ujumbe tumeelewa, ila tujitahidi kuframe vichwa vya habari.Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea.
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Unataka kutuambia qurun ilichachukuliwa?
Je upande wa biblia unasemaje kuhusu hili?
Yaani mtu na binamu yake? Wapeni tu hatiza ndoa, warabu na wahindi wangekuwa matahira maana wao ndo kawaida tena na zaidi ya hapo. Labda kama wote wana magonjwa ya kurithiNi watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea.
Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
Magonjwa ya kurithi ni yepi?msaada tafadhaliYaani mtu na binamu yake? Wapeni tu hatiza ndoa, warabu na wahindi wangekuwa matahira maana wao ndo kawaida tena na zaidi ya hapo. Labda kama wote wana magonjwa ya kurithi