Msaada wenu, mtu anapost picha zangu kwenye mitandao bila ridhaa yangu

kuna kitu kinaitwa Cybercrime nahisi ukienda polisi kesi yako itakuwa kwenye kitengo hicho.
 
Kuna picha alinipiga tukiwa wapenzi bila mm kujua, sio mbaya cuz tulikuwa ndani, sasa anapost zile alizoniotea bila mm kujua anapost na kuandika mara tapeli nk, kaleta purukushani ya kutosha kwenye ndoa yng, hivyo mm nimefikiria kutumia akili zaidi ku deal nae kuliko mabavu na ndio maana niko hapa nikiomba msaada wa kisheria kuwa hii imekaaje kwenye jicho la kisheria kwa kuzingatia sheria zetu za ndani.
 
Nimeshazi-screen shot almost zote mkuu, nitapoteza muda wng kumshughulikia ipasavyo.
 
Mwambie mkeo aelewe, hao ndugu wa mke wako wamblock wasimfatilie, wewe mwenyewe mblock .Dawa ya Mjinga ni kumpuuzia tu. Mkikaa kimya bila kumjudge chochote ataacha.
Niliamua kumpuuza kwa muda mrefu sana lakini hakomi, mpaka nimefikia hatua hii ujue yamenishinda, shida yake ni kuiparaganyisha ndoa yangu kwa hali yoyote ile, kiukweli sio rahisi kuwaambia wakwe wam-block kirahisi hivyo.
 
Unapokuja kulalamika. Kumbuka kwamba, pengine kuna kitu kibaya cha ulimfanyia cha kumuudhi, ongea nae, asipoelewa ndo umfungulie mashtaka.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
kuna kitu kinaitwa Cybercrime nahisi ukienda polisi kesi yako itakuwa kwenye kitengo hicho.

Umetupa ujumbe mzito kwetu sisi WanaJF tunaopenda kutumia picha za watu kama avatar au kuzibandika humu bila ridhaa yao.

Tunawaponza wamiliki wa JF kwa kuwa sheria inambana aliyeweka na mchapishaji. Kuna wenzetu humu wanatumia avatar ya picha za watu, hata mashuhuri, na kuandika mawazo yao yenye maneno na lugha chafu. Mods tahadhari.

Kwa kuwa aliyewekewa picha yake humu hajachukua mkondo wa sheria, tusibeze ushauri huu.
 
Unapokuja kulalamika. Kumbuka kwamba, pengine kuna kitu kibaya cha ulimfanyia cha kumuudhi, ongea nae, asipoelewa ndo umfungulie mashtaka.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo Kila Mhalifu Akisikilizwa Itakuaje??
Uyo Anamchekea Tu. Piga Screenshot Izo Picha Kuonyesha Ni Yeye Anapost Then Peleka Kesi Polisi Au Mahakamani....As Simple As That.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Unapokuja kulalamika. Kumbuka kwamba, pengine kuna kitu kibaya cha ulimfanyia cha kumuudhi, ongea nae, asipoelewa ndo umfungulie mashtaka.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo Kila Mhalifu Akisikilizwa Itakuaje??
Uyo Anamchekea Tu. Piga Screenshot Izo Picha Kuonyesha Ni Yeye Anapost Then Peleka Kesi Polisi Au Mahakamani....As Simple As That.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ukome ulivyomdanganya na kumpotezea muda wake,wacha nawe uipate pate kidogo..funzo kwa wanaume muache uongo

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
picha mlipiga wote wakati wa mgegedo mkiwa mnafurahia... sasa unakuja kulialia hapa. pole sana
 
Nawewe naye umezidi kufunua sketi ovyo ovyo, ona sasawanakudhalilisha.
 
Kwaiyo Kila Mhalifu Akisikilizwa Itakuaje??
Uyo Anamchekea Tu. Piga Screenshot Izo Picha Kuonyesha Ni Yeye Anapost Then Peleka Kesi Polisi Au Mahakamani....As Simple As That.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sametime mambo mengine hayahitaji nguvu. Yanahiyaji akili
 
Unapokuja kulalamika. Kumbuka kwamba, pengine kuna kitu kibaya cha ulimfanyia cha kumuudhi, ongea nae, asipoelewa ndo umfungulie mashtaka.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
We were just dating for funny, and she knows that from the beginning, sasa ilipofikia point i don't want it anymore ndio mgogoro ulipoanzia hapo, nimevumilia maseke yake for more than a year, i can see she is crossing the borders right now.
 
Kwaiyo Kila Mhalifu Akisikilizwa Itakuaje??
Uyo Anamchekea Tu. Piga Screenshot Izo Picha Kuonyesha Ni Yeye Anapost Then Peleka Kesi Polisi Au Mahakamani....As Simple As That.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Nimezi screen shot zote mkuu, nimeamua kumpa somo ktk namna atakayoielewa yeye kwasababu nilishamsihi sana aache, akawa anapost na kuzifuta, sasa kaamua kabisa kunidhalilisha.
 
picha mlipiga wote wakati wa mgegedo mkiwa mnafurahia... sasa unakuja kulialia hapa. pole sana
Unamshutumu mwenzio wakati avatar yako ina picha ya Rais, kwamba ndiye aliyeandika hayo maneno machafu. Hivi ukikamatwa utasema umeonewa au kuwa yeye ndiye amekuruhusu kutumia picha yake na hayo maneno?

Unatuponza tunaotumia jf kupashana habari na kuelimishana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…