Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
naomba kwa yeyote mwenye mawasliano ya moja kwa moja loyola high school iliopo mabibo farasi iwe ni mwalimu mkuu,mwl wa kawaida au hata mwanafunzi pia hata akijitokeza mwanafunzi wa pale nimuulize vitu muhimu kuhusiana na hiyo shule ahsante!
ningeweza kukutukana sana lakini sito fanya hivo, jua hili nijukwaa la elimu pia kama ulitaka kulala ungelala tu mkuu sioni connection yoyote yangu mimi na usingizi wako... mungu akubariki
Ww vipi ww siunde huko mabibo au unadharula watu wengine
Ww vipi ww siunde huko mabibo au unadharula watu wengine
uliza kijana
wewe unaonekana umekurupuka hata chooni wewe utakuwa unavaa suruali kabla ya kumaliza haja hiyo kwa mwanaume mbaya sana halafu itakucost kucoment kwa mkumbo vitu usivovijua unapiga kimya halafu unasoma post za wenzako wanaojuamambo kenge wewe sikuachi kwasababu unaigaiga mambo..
unadhani mimi sipendi kwenda moja kwa moja pale au hii forum unadhani kaziyake kuto...ngo..zania uwe mwelewa nipo mbali thats why nauliza kwawanao jua kupitia hii forum... lione kwanza
kwanza nikupongeze kwa kutonicrash.. nihivi mm nahitaj kusoma pale hivyo nlikuwa nauliza mambo madogo tu muhimu ambayo ni ada kwa hostel na intake ipoje yani namna gani naweza kujiunga,shukran.