Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
Naomba kwa yeyote mwenye mawasliano ya moja kwa moja loyola high school iliopo mabibo farasi iwe ni mwalimu mkuu,mwl wa kawaida au hata mwanafunzi pia hata akijitokeza mwanafunzi wa pale nimuulize vitu muhimu kuhusiana na hiyo shule ahsante!