GreatV
Member
- Sep 18, 2014
- 25
- 17
Mwamba Ila milioni ni pesa ndefu sana aseeWanajamii habarini naombeni ushauri Kuna Dada huku JF kaniomba nimtumie nauli anadai ametokea kunipenda sana na huwa haishi kuniota ndotoni ila anasema nimtumie nauli 1 million hajawai panda ndege naombeni ushauri wanajamii maana nimeshaanza kulegea nahisi nina asilimia 90% kumtumia nishaurini cjui anadawa 🥺