Msaada wenu wa kimawazo unahitajika sana

Msaada wenu wa kimawazo unahitajika sana

Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
You are a nice guy and you are dating a woman whom you feel she has more value than you. Do you love her, she is submissive to you, is she treating like alternative after miss her priorities?. After have answers of those questions then make a decision
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Muoe huyo ndio wako, hayo mengine ni vitu vidogo sana
 
Apo shida ni huo utwiga wake tu ila ulijua huna mpango na mwoga sana wewe mara kakuzidi urefu sijui hela na ukaendelea NAE mpaka mimba ya nini? Ndo maana mfupi , raha ya mwanamke umzdi urefu lakini wewe ushampa mimba kubali matokeo wewe
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Vipi kitandani anarendemka??
 
Urefu 5:8 huyu ni MTU mrefu sio mfupi
So this is not an issue.

Familia yake kuwa tajiri na wewe kuwa masikini .

Swali je familia yao ni tajiri kwenye nini?
Na wewe ni masikini wa nini ? HELA au AKILI?

Kuhusu kukataa kumuoa - hiyo sio issue Ila issue ni kumpa mimba na kukataa kumuoa.


Kwenye umri Una 32 yeye Ana 26 umri upo sahihi Ila mambo unayoandika hayafanani na umri wako.

Nini ufanye
Jitahidi kutumia Akili na sio hisia kuwa logically

Hakikisha unajitambua na unaachana na utoto wa kumtazama MTU kupitia nje . urefu au fupi haya ni maumbile na hayana uhusiano na tabia za MTU au personality or attitude
 
You are a nice guy and you are dating a woman whom you feel she has more value than you. Do you love her, she is submissive to you, is she treating like alternative after miss her priorities?. After have answers of those questions then make a decision
She is truly loves me
 
Sikiliza instincts zako Mzee lakini kumbuka Kuna mstari mwembamba unaotenganisha instincts na hofu, so be carefully.
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Wewe unampenda? Muoe huyo anayekupenda ndo hatokusumbua.
 
Back
Top Bottom