muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Wakuu,
Heshima kwenu
Mada tajwa hapo juu, ninasumbuliwa na tatizo la kukosa usingizi kwa sababu ya mawazo,
Sio siri ninateseka sana naombeni kwa wanaofahamu vyakula mbalimbali ambavyo huongeza hamu ya usingizi
Kwa anaefahamu aniambie nateseka serious wakuu,
Nawazo yananinyima usingizi
Heshima kwenu
Mada tajwa hapo juu, ninasumbuliwa na tatizo la kukosa usingizi kwa sababu ya mawazo,
Sio siri ninateseka sana naombeni kwa wanaofahamu vyakula mbalimbali ambavyo huongeza hamu ya usingizi
Kwa anaefahamu aniambie nateseka serious wakuu,
Nawazo yananinyima usingizi