Mtakumbuka mwezi uliopita mnamo 27.01.2014 na kuendelea kulikuwa na mjadala mkali ulioshika hatamu kwenye vyombo vya habari, ambapo waziri wa kazi na ajira Mhe. Gaudensia Kabaka alitoa tamko la serikali na kuzitaka kampuni zinazofanya udalali wa kuajiri ikiwemo Erolink kusitisha zoezi hilo mara moja, na kuwahamishia wafanyakazi hao kwenye kampuni husika wanakofanyia kazi kabla au kufikia tar. 28.02.2014
Vile vile alitoa wito kwa makampuni hayo kujisajili kwa Kamishna wa ajira ili waweze kufanya kazi zao kwa kufuata sheria za kazi tofauti na awali.
Sasa jana tar. 27.02.2014 ikiwa imebaki siku moja kabla ya tarehe iliyotajwa na waziri kuwa ndiyo deadline, Erolink imewatumia wafanyakazi wake wanaofanya kazi customer care ya pale Vodacom sijui tuite ni taarifa, waraka mfupi au barua (nachelea kuiita barua maana haijakidhi vigezo vya kuitwa barua maana haina muhuri wa ofisi pamoja na kasoro kibao). Katika maelezo ya 'barua' hiyo waliyotumiwa Erolink inasema kuwa ime-decline wito wa Kamishna wa ajira inayowataka wajisajili kama Private Employment Promotion Agency kwa sababu Erolink haijawahi kusajiliwa kama Private Employment Promotion Agency.
Naomba niweke maelezo ya hiyo barua hapa;
RE: THE MINISTER OF LABOUR AND EMPLOYMENTS DECREE AS PUBLISHED ON THE 27TH JANUARY 2014
Reference is made to the Ministers Decree ordering all Private Employment Promotion Agencies to cease operating as outsourcers of services.
We would like to inform the staff that Erolink has never been registered as Private Employment Promotion Agency by the Commissioner for Labour, and although we are grateful to the Commissioner for his invitation to us to register as a Private Employment Promotion Agency under section 20 of the National Employment Promotion Service Act Cap.243 R.E 2002, we have decided to respectfully decline the said invitation and concentrate on our core business of outsourcing services to clients
Yours sincerely
.<signature> .
Management
Vile vile alitoa wito kwa makampuni hayo kujisajili kwa Kamishna wa ajira ili waweze kufanya kazi zao kwa kufuata sheria za kazi tofauti na awali.
Sasa jana tar. 27.02.2014 ikiwa imebaki siku moja kabla ya tarehe iliyotajwa na waziri kuwa ndiyo deadline, Erolink imewatumia wafanyakazi wake wanaofanya kazi customer care ya pale Vodacom sijui tuite ni taarifa, waraka mfupi au barua (nachelea kuiita barua maana haijakidhi vigezo vya kuitwa barua maana haina muhuri wa ofisi pamoja na kasoro kibao). Katika maelezo ya 'barua' hiyo waliyotumiwa Erolink inasema kuwa ime-decline wito wa Kamishna wa ajira inayowataka wajisajili kama Private Employment Promotion Agency kwa sababu Erolink haijawahi kusajiliwa kama Private Employment Promotion Agency.
Naomba niweke maelezo ya hiyo barua hapa;
RE: THE MINISTER OF LABOUR AND EMPLOYMENTS DECREE AS PUBLISHED ON THE 27TH JANUARY 2014
Reference is made to the Ministers Decree ordering all Private Employment Promotion Agencies to cease operating as outsourcers of services.
We would like to inform the staff that Erolink has never been registered as Private Employment Promotion Agency by the Commissioner for Labour, and although we are grateful to the Commissioner for his invitation to us to register as a Private Employment Promotion Agency under section 20 of the National Employment Promotion Service Act Cap.243 R.E 2002, we have decided to respectfully decline the said invitation and concentrate on our core business of outsourcing services to clients
Yours sincerely
.<signature> .
Management