Msaada wenu wandugu: Dawa ya kusokota tumbo kwa mtoto mchanga wa mwezi mmoja

Msaada wenu wandugu: Dawa ya kusokota tumbo kwa mtoto mchanga wa mwezi mmoja

Hello habarini jamani, nimesoma comments za watu wengi hapa juu ya tatizo la watoto kuunguruma tumbo na kunyonga, mimi mwenyewe mwanangu hajafunga miezi miwili lakini anateseka sana!

Yaani tumbo linaunguruma na kunyonga anajinyoosha mpaka huruma! Usiku hatulali tunapokezana kumbembeleza.

Lakini nimeona kuna dawa imetajwa humu unaitwa Bonnisan inazalishwa Himalaya NAOMBA KUJUA NAIPATAJE HUKU KWETU msaada tafadhari. Niko Iringa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ziko pharmacy. Jitahid akishanyonya awekwe begani ili acheue
Hello habarini jamani, nimesoma comments za watu wengi hapa juu ya tatizo la watoto kuunguruma tumbo na kunyonga, mimi mwenyewe mwanangu hajafunga...
 
Jamani nisaidieni kwa anayekujua dawa ya tumbo, mtoto wangu baada tu ya kutimiza wiki mbili toka kuzaliwa kwake gafla alianza kuumwa tumbo la ajabu yaani akimyonya...

Vipi Uliwahi Fanikiwa kwa tiba?

Inawezasaidia wengine uki share hapa Please! ladypeace
 
Wakuu na Mimi tatizo Hilo lipo kwa mwanangu yaani sometimes akilala anajinyonganyonga ghafla na kuanza kulia katumia dripwater na hata mafuta ya samaki tatizo bado msaada tafadhali
 
Jamani nisaidieni kwa anayekujua dawa ya tumbo, mtoto wangu baada tu ya kutimiza wiki mbili toka kuzaliwa kwake gafla alianza kuumwa tumbo la ajabu yaani ...
Mpeleke hospitali.ACHA KUCHEZEA AFYA YA MTOTO NA MADAWA AMBAYO HAYAJAIDHINISHWA KWA UMRI WA MTOTO
 
Akina mama wa siku hizi kuna vyakula mnakula vinakwenda tengeneza maziwa yenye contents zinazowasababishia watoto wachanga matatizo ya constipation, bloating na hata refluxing.
 
Angalia chakula unachokula mama, kama kina asili ya gesi Acha mara moja mfano ndizi bukoba viazi Nyanya chungu au hata maziwa,kunywa maji ya kutosha hata lita 3 au 4 kwa siku mtoto atakuwa vizuri akishanyonya mcheulishe
 
pole sana my dear.ni can feel the way you feel.usimlambishe mtoto vitu vingi sana kwa wakti huu mamy bado mdogo sana otherwise labda dawa uliyoshauriwa na daktari...
Nimepata faida, Mwanangu ana same case, lakini pia na mafua yanamsubua, zaidi ni nyakati za usiku,
 
Back
Top Bottom